pogba de zoom
Member
- Mar 20, 2023
- 14
- 7
Samahan boss .. nilikua nahitaji kufahamu zaidi kuhusu biashara ya kuuza compyuta pamoja na simu katika duka moja. ila nahitaji kupewa ata mwanga kuhusu iyo biashara katika vipengele vifuatavyo:
1. Kiasi cha mtaji kinachofaa kuanzia biashara hiyo.
2. Mkoa au eneo linalofaa kwa hiyo biasahara.
3. Eneo la kupata mzigo na vitu vingine naomba unielekeze tu nduguydngu kama utakua na ufahamu kuhusu hilo ndugu
1. Kiasi cha mtaji kinachofaa kuanzia biashara hiyo.
2. Mkoa au eneo linalofaa kwa hiyo biasahara.
3. Eneo la kupata mzigo na vitu vingine naomba unielekeze tu nduguydngu kama utakua na ufahamu kuhusu hilo ndugu