Naomba ushauri, nataka kuwa large scale entreprenuer

Naomba ushauri, nataka kuwa large scale entreprenuer

misasa

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2014
Posts
14,244
Reaction score
10,073
Mimi ni mjasiriamali wa biashara ndogo(small scale) nataka ku transform to large scale businesses.kwaiyo nimeplan kuanzisha kiwanda kidogo cha kuzalisha unga wa sembe na ngano au pure drinking water. Sasa nahitaji msaada wangu nahitaji ipi biashara ya kuanza nayo kati ya izo na profit margin yake ipoje kati ya izo businesses?? Msingi ninao
 
anza na unga wa sembe... me thinks.
 
Back
Top Bottom