TAJIRI MSOMI
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 496
- 515
HABARI WANA JAMVI
Nahitaji Ushauri, natamani nianzishe biashara ya Jumla kuuza kitu cha aina moja,mbili au tatu tu,sasa ninajaribu kuangalia kati ya Cement, Mafuta ya kupikia au Sukari; etc; Sehem ya biashara ni DSM, nina godown na Frame tayari, ni sehemu ambayo haina watu wengi but ni jirani na maduka mengine ya rejareja kama vile maduka ya vitu vya vyumbani, hardware na vifaa vya umeme.
USHAURI UNAOTAKIWA
1. Bidhaa gani kazi ya Hizo Tatu niendenazo, na au nyingine kama ipo itaje.....unaponichagulia bidhaa plesea sema sababu kwanini
2. Taja bulk seller or sehem ambapo nitaweza kuimport bidhaa hiyo (If possible na bulk prices zake)
3. Nishauri kuhusu license zinazohitajika na wapi nitapata kwa bidhaa unionichagulia
4. Mbinu ya kuifanya hio biashara iweze kufanikiwa
5. Nitaajiri kijana/vijana kuuza, hivyo naamini bidhaa moja kwangu itakuwa rahisi, kwa schedule yangu naweza kwenga dukani kila siku angalau kwa masaa mawili
6. Ushauri mwingine wowote unaoweza unaoweza kunisaidi kwa biashara hii.
N.B. Mtaji wangu ni kati ya 40m-50m, godown na frame ni langu (Hakuna kodi); please tushauriane hapahapa na sio PM
Nashukuru sana Wanabodi kwa Ushauri Wenu
Nahitaji Ushauri, natamani nianzishe biashara ya Jumla kuuza kitu cha aina moja,mbili au tatu tu,sasa ninajaribu kuangalia kati ya Cement, Mafuta ya kupikia au Sukari; etc; Sehem ya biashara ni DSM, nina godown na Frame tayari, ni sehemu ambayo haina watu wengi but ni jirani na maduka mengine ya rejareja kama vile maduka ya vitu vya vyumbani, hardware na vifaa vya umeme.
USHAURI UNAOTAKIWA
1. Bidhaa gani kazi ya Hizo Tatu niendenazo, na au nyingine kama ipo itaje.....unaponichagulia bidhaa plesea sema sababu kwanini
2. Taja bulk seller or sehem ambapo nitaweza kuimport bidhaa hiyo (If possible na bulk prices zake)
3. Nishauri kuhusu license zinazohitajika na wapi nitapata kwa bidhaa unionichagulia
4. Mbinu ya kuifanya hio biashara iweze kufanikiwa
5. Nitaajiri kijana/vijana kuuza, hivyo naamini bidhaa moja kwangu itakuwa rahisi, kwa schedule yangu naweza kwenga dukani kila siku angalau kwa masaa mawili
6. Ushauri mwingine wowote unaoweza unaoweza kunisaidi kwa biashara hii.
N.B. Mtaji wangu ni kati ya 40m-50m, godown na frame ni langu (Hakuna kodi); please tushauriane hapahapa na sio PM
Nashukuru sana Wanabodi kwa Ushauri Wenu