NURDIN.HAMIS
Member
- Mar 9, 2013
- 79
- 5
Kanambia lazima nisome account ili pia niwenamsaidia ktk biashara zake huyu jamaa ni anko wangu kabisa lkn pia kasema hatonikataza kuomba kazi,sehemu zingine na mipango yote kaisha fanya ya kusoma t.i.a compas ya dar na imeshakamilika..