Miaka 7 dalili zingekua zishaanza kuonekana. Uko salama kabisa.Nilishauzaga mechi kipumbavu miaka 7 iliyopita tena kwenye njia ya hatari sana,,
Mpaka leo naikumbuka ile siku,
sjawai pima hiv miaka yote hiyo toka kipind kile ,ila toka ile siku sijawai uza mechi tena,
Kila nikikumbuka ile siku nakosa amani.
But life goes on and am good.
Unakunywa tu haina shida.Hivi ukiwa unatumia PEP,,,, unaruhusiwa kunywa POMBE.....???
Kuna watoto wamenona hatari huwa tunakumbuka ndomu baada ya kumwaga cha kwanza akili ndio inaanza kukaa vizuri.Kavu bila mate inaua
PEP = Post-exposure prophylaxis
Post-exposure prophylaxis, also known as post-exposure prevention, is a medical treatment started after exposure to a pathogen in order to prevent the infection from occurring. Ukipita mazingira hatarishi unapewa hiyo within 72hrs kuokoa na maambuziki.
Hii INA TOFAUTI kidogo na ARVs ingawa ina baadhi ya side effects zinafanana.
Cc Joanah
PEP ni ARvsPEP ni sawa na ARVs
Mzee ni wew nin...maana nawew na ile kipimo chako cha mistar miwil mrejesho hujaleta....kwahyo unamskilizia mwenzioMrejesho vip
Strain ya HIV iliyoko sasa ni weak sana, huwezi linganisha na zile za miaka ya 80,90,Mzee ni wew nin...maana nawew na ile kipimo chako cha mistar miwil mrejesho hujaleta....kwahyo unamskilizia mwenzio
Ila watu mnato.mbana saana jaman.halaf kavu...mbona hatar sana wakuu
Mbona mi siwez risk maisha hvyo..au ngono kwangu si muhim kama wengne nn
Mkuu mim sinilileta mrejesho wakukomfem majibuMzee ni wew nin...maana nawew na ile kipimo chako cha mistar miwil mrejesho hujaleta....kwahyo unamskilizia mwenzio
Ila watu mnato.mbana saana jaman.halaf kavu...mbona hatar sana wakuu
Mbona mi siwez risk maisha hvyo..au ngono kwangu si muhim kama wengne nn
H a ha ha hivi kumbe kusimamia ukucha ndio chanzo cha kunasa wadudu toa io elimu vizuri mkuu kumbe wazee wa sekunde 5 hawana hatari yoyoteprep hufanya kazi kabla ya masaa 72...subiri miezi mi3 ifike ukapime tena. Na prep huwa inatmika kwa emergency na mara nyingi hutumika na wahudumu wa afya ambapo wakiona kuna ajali imepatkana either kuchomwa na sindano wakat wa kumshona mtu au vinginevyo. Haiwez fanya kazi baada ya masaa 72. Subiri muda ufike.
Kuwa na amani huenda majib yakawa mazuri kama hujasimamia ukucha lakini.
All in all condom ni muhim au baki njia kuu. UKIMWI unaua.
Sent using Jamii Forums mobile app