J boaz
Member
- Sep 26, 2019
- 15
- 7
Mimi ni mwanafunzi ambae namalizia elimu yangu ya biashara CBE ila kwa sasa siitaji tena kuendelea na masomo naitaji kuanzish biashara yangu binafsi na biashala ninayo taka kufanya ni biashara ya kuuza nguo za mtumba za kike japo sio mala ya kwanza kufanya hii biashara ila kwa sasa nataka niifanye kwa malengo zaidi ata kufungua branch tofauti tofauti ila paka sas nina mtaji wa laki5 ambapo nimesha nunua baadhi ya vifaa vya dukani kama midoli henga, stend ya nguo nk lengo ni kuongeza thamani katika biashara hiii na kuifanya kitofauti zaidi.
Kwa kipind cha nyuma nilikuw nauwezo wa kununua mzigo wa laki na nusu na kupata faida adi laki na30.
Nanunua jeans nzuri kwa elfu3 nauza kwa elf8 adi elfu 10 kilingana na mteja ninaye muuzia top nanunua kwa elf moja na kuuza elfu 4, gauni fupi haswa za kutokea usiku nanunua kwa elf3 au elf2 nauza kwa elf8 adi elf10.
Ukiangalia nibiashara yenye faida kwa kiasi chake ila apo sikuwa na duka maalumu nilikuwa nawauzia2 wanafunzi wenzangu kwa sas nataka nichukue frame japo sijapat bado na location ya biashara ila target yangu ni wanafunzi wa chuo na baadhi ya watu around.
Naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa biashara nawezaje ku manage biashara yangu bila kupata hasara pia njia gani naweza kutumia ili kukuza biashara yangu ya mitumba.
Kwa kipind cha nyuma nilikuw nauwezo wa kununua mzigo wa laki na nusu na kupata faida adi laki na30.
Nanunua jeans nzuri kwa elfu3 nauza kwa elf8 adi elfu 10 kilingana na mteja ninaye muuzia top nanunua kwa elf moja na kuuza elfu 4, gauni fupi haswa za kutokea usiku nanunua kwa elf3 au elf2 nauza kwa elf8 adi elf10.
Ukiangalia nibiashara yenye faida kwa kiasi chake ila apo sikuwa na duka maalumu nilikuwa nawauzia2 wanafunzi wenzangu kwa sas nataka nichukue frame japo sijapat bado na location ya biashara ila target yangu ni wanafunzi wa chuo na baadhi ya watu around.
Naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa biashara nawezaje ku manage biashara yangu bila kupata hasara pia njia gani naweza kutumia ili kukuza biashara yangu ya mitumba.