Naomba ushauri, nimeharibu mahali

kiboboso

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
9,323
Reaction score
12,594
Wakuu naomba mnishauri kwa hili tafadhalini sana, nipo chini ya miguu yenu.

Ni hivi kuna binti nimetoka kufanya nae mapenzi asubuhi hii nikajikuta natoa boko bila kujua na binti yupo kwenye siku za hatari.

Ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu. [emoji120][emoji120]
 
Tukushauri nin? Sasa mwambie uyo mwenzako kwenye suruali aliekushauri mwanzo akushauri tena kwetu sis ungekuja b4.
 
kama atapata ujauzito let the kid live.
be loyal man, karma iz real
 
Huu ndio muda sahihi sasa wa wewe kukaa na huyo binti mumchagulie mtoto wenu jina.

Ushauri wangu;-

Akiwa babygirl muiteni Dorothy
Akiwa mwamba muiteni Mwigulu

Ni ushauri tu mkuu, maamuzi ni yenu. Mnaweza muita hata Nchemba. Hili ni unisex
 
Kama huyo binti hajawa teyari hawez beba mimba, saiz atakua kashabwia P2
 
Pole makosa na bahati mbaya hutokea. Siku nyingine utumie kinga. Sio lazima kila sex itapelekea mimba hata kama mtu yuko kwenye siku as hataree. Zipo dawa pia za kushughilika na mimba zisizotarajiwa. Zungumza na mbusika anajua namna ya kukusaidia.
 
Anza kuweka akiba ya diapers na mtaftie bima ya kujifungua, pia watoto ni zawadi na usiwaze maana hyo starehe yenu wawili
Nina mchumba mwingine tayari. Inamaana kama huyu akipata mimba itabidi nimuache yule niliyemtolea mahari nimuowe huyu!!! Hii mbona itakuwa hatia kubwa sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…