Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nimechanganyikiwa mkuu, acha masihara.Huu ndio muda sahihi sasa wa wewe kukaa na huyo binti mumchagulie mtoto wenu jina.
Ushauri wangu;-
Akiwa babygirl muiteni Dorothy
Akiwa mwamba muiteni Mwigulu
Ni ushauri tu mkuu, maamuzi ni yenu. Mnaweza muita hata Nchemba. Hili ni unisex
Naomba namba yake.Hajui chochote. Kwahiyo nimnunulie p2 anywe?
Daaah umenipoteza kidogo p2 ndo nn..ni playstation 2 au...?Kama huyo binti hajawa teyari hawez beba mimba, saiz atakua kashabwia P2
Kwanini usifanye na mpenzi wako uliemtolea mahari jombaa?Nimefanya nae mapenzi bila kinga akiwa kwenye siku za hatari.
Yaani Siku hata haijachanganya ushangonoka ,umetenda kabla yakufikirWakuu naomba mnishauri kwa hili tafadhalini sana, nipo chini ya miguu yenu.
Ni hivi kuna binti nimetoka kufanya nae mapenzi asubuhi hii nikajikuta natoa boko bila kujua na binti yupo kwenye siku za hatari.
Ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu. [emoji120][emoji120]
Kwani ulipokuwa unafanya hivyo nani ulimkopesha akili yako?Nina mchumba mwingine tayari. Inamaana kama huyu akipata mimba itabidi nimuache yule niliyemtolea mahari nimuowe huyu!!! Hii mbona itakuwa hatia kubwa sana?
Kwani ulipokuwa unafanya hivyo nani ulimkopesha akili yako?Nina mchumba mwingine tayari. Inamaana kama huyu akipata mimba itabidi nimuache yule niliyemtolea mahari nimuowe huyu!!! Hii mbona itakuwa hatia kubwa sana?
Kwani ulipokuwa unafanya hivyo nani ulimkopesha akili yako?Nina mchumba mwingine tayari. Inamaana kama huyu akipata mimba itabidi nimuache yule niliyemtolea mahari nimuowe huyu!!! Hii mbona itakuwa hatia kubwa sana?
😂😂 uzi uishie hapa tu, asipoelewa basiHuu ndio muda sahihi sasa wa wewe kukaa na huyo binti mumchagulie mtoto wenu jina.
Ushauri wangu;-
Akiwa babygirl muiteni Dorothy
Akiwa mwamba muiteni Mwigulu
Ni ushauri tu mkuu, maamuzi ni yenu. Mnaweza muita hata Nchemba. Hili ni unisex