Rosati
Senior Member
- Feb 9, 2013
- 104
- 69
Naomba ushauri, nimezoea kuendesha automatic sasa juzi nimepata manual Vitz.
Kila nikisimama kwenye foleni hapa dsm foleni ikiachia gari inazima, nilidhani ni technical problem lakini fundi akaniambia sio problem.
Hivi tatizo ni nini inazima nikiwa nataka kuondoka baada ya kusimama kwenye foleni.
Ni kilometer au mwendo kiasi gani ili niweze kubadilisha gear.
Kila nikisimama kwenye foleni hapa dsm foleni ikiachia gari inazima, nilidhani ni technical problem lakini fundi akaniambia sio problem.
Hivi tatizo ni nini inazima nikiwa nataka kuondoka baada ya kusimama kwenye foleni.
Ni kilometer au mwendo kiasi gani ili niweze kubadilisha gear.