Naomba ushauri niwekeze mkoa gani?

Naomba ushauri niwekeze mkoa gani?

Fauya

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2017
Posts
262
Reaction score
479
Habari wana Jamvi,

Mimi nimeajiriwa Serikalini hivi karibuni na sijamaliza miezi sita kazini. Nimeajiriwa mkoani Kigoma wilaya ya Kigoma Mjini.

Nimekuja hapa kuomba ushauri niwekeze mkoa gani ambao nitaweza kupata unafuu wa kusimamia miradi yangu maana nipo interested na uwekezaji katika kilimo hususani cha muda mrefu na ufugaji.
 
Kigoma ni mkoa unaokuja vizuri kiuchumi mi nakushauri wekeza hapo hapo kigoma hasa kwenye sekta ya ujenzi
KIGOMA mjini?

Uchumi unasikitisha huko. At least KASULU- na kibondo makambi ya wakimbizi yapo hivyo mzunguko wa hela ya mashirika at least. Lakini KIGOMA mjini panatia huruma
 
Habari wana jamvi,

Mimi nimeajiriwa serikalini hivi karibuni na sijamaliza miezi sita kazini, nimeajiriwa mkoani kigoma wilaya ya kigoma mjini.

Nmekuja hapa kuomba ushauri niwekeze mkoa gani ambao nitaweza kupata unafuu wa kusimamia miradi yangu maana nipo interested na uwekezaji katika kilimo hususani cha muda mrefu na ufugaji
Nunua vitenge kutoka Kigoma, nasikia ni bei nafuu sana my friend. Kisha nipostie kwenye basi niuze huku Mwanza.

Together we can..
 
KIGOMA mjini?

Uchumi unasikitisha huko. At least KASULU- na kibondo makambi ya wakimbizi yapo hivyo mzunguko wa hela ya mashirika at least. Lakini KIGOMA mjini panatia huruma
Ina maana vunja bei ni mjinga kufungua duka kigoma mjini? Ninachosema kigoma ina potential ya kukua kwa haraka kwa miaka ya ivi karibuni. Hii inatokana na ujenzi wa miundo mbinu unaoendelea kwa kasi
 
Nunua vitenge kutoka Kigoma, nasikia ni bei nafuu sana my friend. Kisha nipostie kwenye basi niuze huku Mwanza.

Together we can..
Ndio vitenge huku n bei ndogo
 
Ndio vitenge huku n bei ndogo
Fanya Namna mkuu tufanye biashara

sisi wote ni graduates, wasomi. Hatutashindwana

Huku kuna Low grades materials naamini tutaleta mapinduzi
IMG_20240806_070456_123.jpg
 
Njoo uwekeze kwenye Zabibu Dodoma hutajutia,Ndo zao ambalo ukiwa na Hekta2 hukosi M25+ Kwa msimu,Kwa maelezo zaidi njoo Dm na nnakukaribisha uje ujionee mwenyewe na sio maneno mengi
 
Njoo uwekeze kwenye Zabibu Dodoma hutajutia,Ndo zao ambalo ukiwa na Hekta2 hukosi M25+ Kwa msimu,Kwa maelezo zaidi njoo Dm na nnakukaribisha uje ujionee mwenyewe na sio maneno mengi
Mkuu mashamba ya kupanda zabibu yanapatikana kwa bei gani?
 
Habari wana jamvi,

Mimi nimeajiriwa serikalini hivi karibuni na sijamaliza miezi sita kazini, nimeajiriwa mkoani kigoma wilaya ya kigoma mjini.

Nmekuja hapa kuomba ushauri niwekeze mkoa gani ambao nitaweza kupata unafuu wa kusimamia miradi yangu maana nipo interested na uwekezaji katika kilimo hususani cha muda mrefu na ufugaji
Hapo hapo kigoma tafta eneo nunua mizinga fuga nyuki utanishukuru badae.
 
KIGOMA mjini?

Uchumi unasikitisha huko. At least KASULU- na kibondo makambi ya wakimbizi yapo hivyo mzunguko wa hela ya mashirika at least. Lakini KIGOMA mjini panatia huruma
Huko kasulu na kibondo hawawataki wakuja na ukianzisha biashara wanakuhijumu mpaka mtaji wako utaisha labda na wewe ujipendekeze kwao
 
Huko kasulu na kibondo hawawataki wakuja na ukianzisha biashara wanakuhijumu mpaka mtaji wako utaisha labda na wewe ujipendekeze kwao
Kumbe unawafaham?.. Hata ukijipendekeza kwao watakupiga vita tu.
 
Habari wana Jamvi,

Mimi nimeajiriwa Serikalini hivi karibuni na sijamaliza miezi sita kazini. Nimeajiriwa mkoani Kigoma wilaya ya Kigoma Mjini.

Nimekuja hapa kuomba ushauri niwekeze mkoa gani ambao nitaweza kupata unafuu wa kusimamia miradi yangu maana nipo interested na uwekezaji katika kilimo hususani cha muda mrefu na ufugaji.
Uko huko kigoma maana muhogo, karanga, mawese, mawese , ufugaji wa mbuzi na ngombe zaidi human capital Iko ya kutosha kukusaidia kazi zako.
Angalizo shughuli zote zinaitaji kufanya research na kujua utamaduni
 
Uko huko kigoma maana muhogo, karanga, mawese, mawese , ufugaji wa mbuzi na ngombe zaidi human capital Iko ya kutosha kukusaidia kazi zako.
Angalizo shughuli zote zinaitaji kufanya research na kujua utamaduni
Nashukuru mkuu
 
Back
Top Bottom