Naomba Ushauri: Rafiki yangu alinidharau na kuniambia nanuka sasa ananiomba msamaha na anamtaka mume wangu

Naomba Ushauri: Rafiki yangu alinidharau na kuniambia nanuka sasa ananiomba msamaha na anamtaka mume wangu

Duh
 

Attachments

  • downloadfile-9.jpg
    downloadfile-9.jpg
    61.9 KB · Views: 2
Picha yenyewe ya uchi iko wap?
Fanya uitume tukushauri vozuri
 
RAfiki yg amenichamba kwamba nanuka uchi naombeni ushauri nahisi kuua mtu

Mimi ni mama wa watoto 3 na nimeolewa; ndoa yangu ina miaka 7 sasa. Mimi na mume wangu tulikuwa vizuri, lakini mwaka jana, kuna rafiki yangu mmoja...
AKIFA mtazika shida ipo wap?
 
RAfiki yg amenichamba kwamba nanuka uchi naombeni ushauri nahisi kuua mtu

Mimi ni mama wa watoto 3 na nimeolewa; ndoa yangu ina miaka 7 sasa. Mimi na mume wangu tulikuwa vizuri, lakini mwaka jana, kuna rafiki yangu mmoja...
Si umuache ajiuwe?we nae vipi aisee? Kaa kimya au mwambie kabisa ajiuwe,muulize umpelekee sumu???
 
Chai ya leo imezidi tangawizi.....ila hilo dubwana ukilibamba uwe umeshiba ugali kitimoto choma otherwise utawekwa kwenye kundi la wenye upungufu wa nguvu za kiume
Kula chips basi
 
Back
Top Bottom