Naomba ushauri shule zipi nipeleke job application- teaching

Naomba ushauri shule zipi nipeleke job application- teaching

nauliza swal je we uko mkoa gani? prvate hapa dar zpo nyng swali uloulzwa mwanzo nikutaka kuepusha kukurudisha kwenye shule uliopo. na ku, mfano. nyoko sec school iko da bila kujua uliko kwa sasa ntakushauri uende hapo. kumbe ungekubali kusema kwa sasa unafundisha hapo pengne ungepata ushaur tofaut. mfano ningekushaur u2me cv yako jinyee sec. ambayo iko dar. una haiba?

Umeanza kuleta upuuzi wa FB na twitter huku, usirudie vinginevyo tutakupiga ban mara moja.........
 
ndugu sisomi na wala sisomeshi. I want to teach.Dont assume that all jf members dwells at dsm. Aliyepo dar atakukuwa na idea ni shule zip kama nilivoomba msaada. Labda kidogo hukuelewa nilichosema. Unataka nitoke huku niliko nije nifanye research ya shule huko dar. ok its fine

Mkuu kwa kiingereza hiki watoto wetu wategemee elimu gani kutoka kwako lol! Umeniogopesha hata kukuelekeza shule ya kuomba kazi maana utaenda kuwalisha "matango pori" a.k.a. "Kasa" watoto wa watu.
 
Miaka sita bado una diploma tu,uliowafundisha tayari wana mastaz degree tayari..fanya mpango ujiendeleze mwalimu,ndio tatizo la walimu kuridhika ndio maana wanaishia kuwa maskini..kazi ya ualimu majanga!
 
Acha uvivu wa kufikiri. Shule usome wewe sisi tukufanyie utafiti? Hii ndiyo taabu ya watu wengine. Unayetaka kusoma au kusomesha wewe sisi tunahusikaje? Go do research yourself instead of wasting time asking people you don't even know.


Acha mambo yako hujui hata kuuliza wadau n part ya research,una elimu gani ww
 
Rearch ya kuuliza watu wenye ID zisizoonyesha uhalisia wao? Research gani hujui unaowauliza kama wana watoto au hawana,ni juzi tu tulikuwa tukijadili watu kuishi Marekani na kurudishwa bila hata cheti kimoja, Najua itakera wengi kama father of all nathani ni wajibu wangu kuwafundisha watoto kujitegemea ukiwemo wewe chawapoma unayeuliza kiwango changu cha elimu usijui bado kielimu wewe hufikii hata mjukuu wangu.



Acha mambo yako hujui hata kuuliza wadau n part ya research,una elimu gani ww
 
Back
Top Bottom