nauliza swal je we uko mkoa gani? prvate hapa dar zpo nyng swali uloulzwa mwanzo nikutaka kuepusha kukurudisha kwenye shule uliopo. na ku, mfano. nyoko sec school iko da bila kujua uliko kwa sasa ntakushauri uende hapo. kumbe ungekubali kusema kwa sasa unafundisha hapo pengne ungepata ushaur tofaut. mfano ningekushaur u2me cv yako jinyee sec. ambayo iko dar. una haiba?
ndugu sisomi na wala sisomeshi. I want to teach.Dont assume that all jf members dwells at dsm. Aliyepo dar atakukuwa na idea ni shule zip kama nilivoomba msaada. Labda kidogo hukuelewa nilichosema. Unataka nitoke huku niliko nije nifanye research ya shule huko dar. ok its fine
Acha uvivu wa kufikiri. Shule usome wewe sisi tukufanyie utafiti? Hii ndiyo taabu ya watu wengine. Unayetaka kusoma au kusomesha wewe sisi tunahusikaje? Go do research yourself instead of wasting time asking people you don't even know.
Acha mambo yako hujui hata kuuliza wadau n part ya research,una elimu gani ww