Naomba ushauri Tatizo la Mtoto kutokula chakula

Naomba ushauri Tatizo la Mtoto kutokula chakula

KELLYN

Member
Joined
Jul 5, 2012
Posts
25
Reaction score
5
habari zenu wana JF

jaman wenye uzoefu naomba mnisaidie mtoto wangu wa miezi tisa yeye anapenda maziwa tu ukimpa vyakula vingine hataki hata kidogo anajitapisha chote naombeni msaada maana maziwa pekee kwa umri wake hayatoshi.
 
Upo wapi? Mpeleke kwa daktari wa watoto. Huenda akawa anaumwa malaria au ugonjwa mwingine wowote.
 
Toto langu lilikuwa na afya afu kilivyo kirefu kinaonekana kikubw Sa hivi hakili ng'o.Nimempa dawa za minyoo nione
 
habari zenu wana JF

jaman wenye uzoefu naomba mnisaidie mtoto wangu wa miezi tisa yeye anapenda maziwa tu ukimpa vyakula vingine hataki hata kidogo anajitapisha chote naombeni msaada maana maziwa pekee kwa umri wake hayatoshi.
Ndugu yangu yaani kumlisha mtoto mdogo its an art work asikuambia mtu, yaani ukimlisha kimbumbumbu inakula kwako.Lazima uwe creative na pia usiwe mtu wa kukata tamaa eti ukimpa akikataa eti basi mtoto kumlisha unajaribu hata mara tano kwa kujipa interval ya muda flani.Ndugu yangu kumlisha mtoto lazima uwe dedicated,mfano mimi jana mtoto wangu ana mwaka na miezi 7 nilivotoka job jioni nikamuuliza dada vipi dogo amekula akaniambia kuwa mchana hajala aligoma kabisa ila amekunywa tu maziwa.Mimi nikamwambia apike ugali alete mezani mwanaume nianze kazi.Nakuambia wala hata humkabi ni kuimba pambio, mara nyimbo za kikurya mara kula ukimaliza tunaenda dukani, mara taaamu hiyo.Yaani lazima uwe dedicated la sivo ukijifanya kama wale wadada wa mjini eti mtoto amegoma ukamwacha mbona atabakia kwenye mifupa.Lazima uwe creative unapomlisha mtoto na wala usiogope eti unachafuka yaani in short vaa nguo za kazi kama unaona viwalo vyoko vitachafuka
 
Ndugu yangu yaani kumlisha mtoto mdogo its an art work asikuambia mtu, yaani ukimlisha kimbumbumbu inakula kwako.Lazima uwe creative na pia usiwe mtu wa kukata tamaa eti ukimpa akikataa eti basi mtoto kumlisha unajaribu hata mara tano kwa kujipa interval ya muda flani.Ndugu yangu kumlisha mtoto lazima uwe dedicated,mfano mimi jana mtoto wangu ana mwaka na miezi 7 nilivotoka job jioni nikamuuliza dada vipi dogo amekula akaniambia kuwa mchana hajala aligoma kabisa ila amekunywa tu maziwa.Mimi nikamwambia apike ugali alete mezani mwanaume nianze kazi.Nakuambia wala hata humkabi ni kuimba pambio, mara nyimbo za kikurya mara kula ukimaliza tunaenda dukani, mara taaamu hiyo.Yaani lazima uwe dedicated la sivo ukijifanya kama wale wadada wa mjini eti mtoto amegoma ukamwacha mbona atabakia kwenye mifupa.Lazima uwe creative unapomlisha mtoto na wala usiogope eti unachafuka yaani in short vaa nguo za kazi kama unaona viwalo vyoko vitachafuka

ha ha ha ha mkuu chukua like
 
Inabidi uwe gaidi. Ukitumia unyenyekevu akagoma. Unabadilisha upande wa pili wa shilingi. Atachukia lakini job well done.
 
habari zenu wana JF

jaman wenye uzoefu naomba mnisaidie mtoto wangu wa miezi tisa yeye anapenda maziwa tu ukimpa vyakula vingine hataki hata kidogo anajitapisha chote naombeni msaada maana maziwa pekee kwa umri wake hayatoshi.

Mbadilishie vyakula tofauti tofauti inawezekana akakipenda kimojawapo.
 
Ni kweli tatizo hilo lipo kwa watoto wengi sana, lakini jaribu kumbadilishia chakula tofauti tofauti, kwani nae anakinaishwa na chakula cha aina moja, kwa mf mwingine celerac ndio anaona chakula kizuri kwa watoto, basi atataka ampe kila siku lakini mtoto nae ni kama wewe mtu mzima huwezi kula wali asubuhi,mchana jioni kila siku lazima utachoka tu, huo ndio ushauri wangu, tofauti na hapo mpeleke kwa kwa specialist wa watoto.
 
Back
Top Bottom