Naomba ushauri: ukifiwa, unavukaje maumivu na kusonga mbele na maisha?

Hamna cha kufanya, muda ndo tabibu wa majonzi.

Japo juhudi zozote zinazoonesha kujali haziharibu chochote,

Ila ni lazima aumie, hamuwezi kufuta kumbukumbu.
 
Pole yake sana,hakika ni jambo gumu na la kuumiza haina kifani jamani kufiwa na mtu wa karibu yako,mimi hapa nilifiwa na classmate wangu pascal mpaka leo nashindwa kuelewa kwa nini duniani tupo,nina kovu moyoni. Sembuse wazazi,jambo hili lisikie kwa jirani. Mungu awatie nguvu wote waliofiwa na wapendwa wao wawapendao.
 
muache alie tu na kama n mtumiaji wa vinywaji mchangamshe hata na bia 4 za baridi.
 
Muunganisheni na wataalam wa afya akili. Nao wanasaidia sana. Pia awe karibu sana na M/Mungu.
 
Muda ndo kila kitu she will be fine as the time passes.
Namimi niltaka ni comment ivo

Muda ndo unaponya maumivu yoyote makali life must goes on wengine tulishapita hayo but kuondokewa na mpendwa wako kunaumiza sana ila sio mwisho maisha yako.
 
kila kitu kitajichuja taratibu miezi 6 mbeLe....

ONYO ,mwambie miezi 6 ipite bila kupigwa miti.....akipigwa tu yatakayomkuta asinitafute
 
Pole yake sana. Muache alie,machozi ni tiba ila tu msimuache peke yake kwa muda mrefu kaeni nae karibu na shughuli za hapa na pale,kutembea tembea na kusikiliza vipindi vya dini vitamsaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…