albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,198
- 2,562
- Thread starter
- #41
🔥🔥🔥🔥🔥💥Bat kali sana kwanza zina rangi ya pekee akeView attachment 2717646
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🔥🔥🔥🔥🔥💥Bat kali sana kwanza zina rangi ya pekee akeView attachment 2717646
ANDO sio mgeni Sokoni, Yuko muda tuu, na Quality ya Mabati yake ni nzuri !!! Ungeniambia KINGLION , huty ndio mgeni sokoni kwa sasa !!Habari wadau,
Najua Kuna mada nyingi kuhusu bati ila hebu tushauriane hapa.
Kwasasa naelekea Hatua ya upauaji ila nimejikuta napata shida niangukie wapi
BATI ZA RANGI
Wengi wanashauri ALAF, SAWA ila bei yake iko juu sana 39 (bati ya kawaida ya rangi) na pia nimekutana na wadau wanasema uaminifu sasa ni 00 kwani WAPO walozitumia na sasa ni nyeupe na walinunua kwa mawakala trusted.
KIBOKO anaaminika kiasi kwani anaingia na kutoka sokoni kwa ubora
BATI ZA KAWAIDA
SIMBA DUMU wengi wanazisifia sana ila mafundi wanaelezea changamoto ya migongo ya mwisho kuacha uwazi. (390k kwa bando)
ROOFING
Mpaka sasa sijapata changamoto yoyote ya bati hizi zinatokea Uganda na wengi wanazisfia mafundi wakiwemo 400k kwa bando
Ziada:
ANDO
Huyu ni mgeni sokoni anaonekana ni bora (hamna ushahidi mana Hakuna reference) ila serikali kamuamin kampa tenda ya ikulu Dodoma (sio sababu mana 10% hua inahusika pia) bei yake sasa maaaaaaaa bati moja la migongo ya kawaida anauza 49k🚶
Niende WAPI
KARIBUNI.
Nasikia hizo bati zinachakachuliwa sio Kama zamani bei ya Ando hadi mwezi wa sita ilikuwa shilingi 43000/ nilipoulizaAndo hana mpinzani mkuu japo bei kachangamka