Naomba ushauri wa aina ya bati ya kuchaguala?

ANDO sio mgeni Sokoni, Yuko muda tuu, na Quality ya Mabati yake ni nzuri !!! Ungeniambia KINGLION , huty ndio mgeni sokoni kwa sasa !!
 
ANDO sio mgeni Sokoni, Yuko muda tuu, na Quality ya Mabati yake ni nzuri !!! Ungeniambia KINGLION , huty ndio mgeni sokoni kwa sasa !!
Kwangu Mimi mgeni ni Sinoray
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…