Naomba ushauri wa biashara kwa mtaji wa milioni moja

Naomba ushauri wa biashara kwa mtaji wa milioni moja

Joined
Feb 5, 2017
Posts
37
Reaction score
76
Niliepo mbele yenu ni kijana mpambanaji, naombeni mnisaidie mawazo ya biashara ya mtaji kuanzia milioni moja hadi milioni tano.

Kazi yangu ya awali ilikua ni dereva bajaj, nimeifanya kwa muda na sasa nimeamua kuiacha kabisa.

Nimefanya hivyo baada ya kupata tatizo la maumivu ya mgongo yasio koma, hivyo imenilazimu niuze bajaj na kufanikiwa kupata vijichenji kidogo.

Hapa nawaza ni biashara gani nifanye ili nipate kuishi, mda huu sina idea yoyote sababu nilizoea kazi moja ya kukimbia barabarani.

Nipe wazo bila kujari sehemu gani ulipo, sababu mie ni mpambanaji naweza kuishi sehemu yoyote.

Asanteni.
 
Niliepo mbele yenu ni kijana mpambanaji, naombeni mnisaidie mawazo ya biashara ya mtaji kuanzia milioni moja hadi milioni tano.

Kazi yangu ya awali ilikua ni dereva bajaj, nimeifanya kwa muda na sasa nimeamua kuiacha kabisa.

Nimefanya hivyo baada ya kupata tatizo la maumivu ya mgongo yasio koma, hivyo imenilazimu niuze bajaj na kufanikiwa kupata vijichenji kidogo.

Hapa nawaza ni biashara gani nifanye ili nipate kuishi, mda huu sina idea yoyote sababu nilizoea kazi moja ya kukimbia barabarani.

Nipe wazo bila kujari sehemu gani ulipo, sababu mie ni mpambanaji naweza kuishi sehemu yoyote.

Asanteni.
Ingia kwenye thread ya Biashara na Ujasiriamali Kuna mawazo kibao ya Biashara kule
 
Zipi hizo hizi za elfu 15 kkoo akauze elfu 20 minadani wananua kaka?
Hahaha, inaonekana hujakaa vijijini ukajua raia wema wanatupia yebo za aina gani.

Kuna hizi yebo watu wanauziwa 2000 hadi 3000 huko vijijini, nadhan utakuwa umezipata.
 
Hahaha, inaonekana hujakaa vijijini ukajua raia wema wanatupia yebo za aina gani.

Kuna hizi yebo watu wanauziwa 2000 hadi 3000 huko vijijini, nadhan utakuwa umezipata.
Hizo nazipata nilajua Gucci
 
Fungua ofisi ya uwakala ,nmb,tigo pesa ,na mitandao mengine ,kutafuta location ni muimu, kwenye ofisi yako pia unaweza kuweka vifaa vya simu au ukaweka soft drink hapo utakuwa unapiga 2 in 1
Kwa 1M?
 
Fungua ofisi ya uwakala ,nmb,tigo pesa ,na mitandao mengine ,kutafuta location ni muimu, kwenye ofisi yako pia unaweza kuweka vifaa vya simu au ukaweka soft drink hapo utakuwa unapiga 2 in 1
One million 🥲
 
Back
Top Bottom