Naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji wa milioni 4

Naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji wa milioni 4

Fungua hardware , miezi sita ya kwanza hautakuwa busy ila watu wakishakujua utapenya
Mkuu hardware mtu hajawahi kukaa dar unamwambia afungue hardware kwa 4M?

Hiyo pesa inabidi asiingize yote kwenye biashara atafute biashara yenye mtaji kiasi ila sehemu yenye move kubwa kama kkoo. Halafu akiba nyingine aweke pembeni.

Kuweka pesa yote kwenye biashara ni hatari sana tena jiji kama dar na biashara yenyewe ni hardware na sio mwenyeji huku.
 
umeshindwa kutoboa kwenye forex sasa umetafuta chaka lingine ulize watu
Forex wamesoma bure they're not that successful in trading ..... wamepata hela kwa kuuza signals na mentoring ya basic knowledge ambazo zinapatikana YouTube

(uvivu wetu tu wakujifunza na uvumilivu)

Hii 1m ya kulipa huku ukifungua genge la matunda na mboga mboga una nafasi kubwa sana ya kupata chchote kuliko kwenda kwa hawa wajanja wa mjini wakakulisha matango pori

Ukitaka issue za online weka bundle kasome udemy ingia qoara ingia YouTube etc jitoe Sadaka kweli kweli
 
Forex wamesoma bure they're not that successful in trading ..... wamepata hela kwa kuuza signals na mentoring ya basic knowledge ambazo zinapatikana YouTube

(uvivu wetu tu wakujifunza na uvumilivu)

Hii 1m ya kulipa huku ukifungua genge la matunda na mboga mboga una nafasi kubwa sana ya kupata chchote kuliko kwenda kwa hawa wajanja wa mjini wakakulisha matango pori

Ukitaka issue za online weka bundle kasome udemy ingia qoara ingia YouTube etc jitoe Sadaka kweli kweli
sure, sasa kama iyo digital marketing anayotangaza kwamba mtu akifanya atakuwa anapata hela ndefu kwa mwezi jamani mambo sio rahisi hivyo ndo maana na yeye amefikiria nje ya box aanze kufundisha watu ili apige pesa nyingi
 
sure, sasa kama iyo digital marketing anayotangaza kwamba mtu akifanya atakuwa anapata hela ndefu kwa mwezi jamani mambo sio rahisi hivyo ndo maana na yeye amefikiria nje ya box aanze kufundisha watu ili apige pesa nyingi
Naongezea

Kuna mtu humu alisema ana laki 5 anataka wazo la biashara nimemwambia auze mafenesi kwa kuweka kwenye vikopo ananishangaa usoni

(Risk to reward) tumia formula hii kwenye kila biashara unataka kufanya

Hii ya mafenesi watu wanalala na 50k kila siku af sisi wengine tunakazana na fremu😂😂 interesting

Ukianguka unahitaji msaada kuinuka ila huyu mwengine hana wasiwasi anaanguka anainuka hapo hapo

Nataman niseme mengi
 
Naongezea

Kuna mtu humu alisema ana laki 5 anataka wazo la biashara nimemwambia auze mafenesi kwa kuweka kwenye vikopo ananishangaa usoni

(Risk to reward) tumia formula hii kwenye kila biashara unataka kufanya

Hii ya mafenesi watu wanalala na 50k kila siku af sisi wengine tunakazana na fremu😂😂 interesting

Ukianguka unahitaji msaada kuinuka ila huyu mwengine hana wasiwasi anaanguka anainuka hapo hapo

Nataman niseme mengi
Tatizo sisi bila fremu hatuoni kama tunafanya biashara embu tupe madini
 
Naongezea

Kuna mtu humu alisema ana laki 5 anataka wazo la biashara nimemwambia auze mafenesi kwa kuweka kwenye vikopo ananishangaa usoni

(Risk to reward) tumia formula hii kwenye kila biashara unataka kufanya

Hii ya mafenesi watu wanalala na 50k kila siku af sisi wengine tunakazana na fremu[emoji23][emoji23] interesting

Ukianguka unahitaji msaada kuinuka ila huyu mwengine hana wasiwasi anaanguka anainuka hapo hapo

Nataman niseme mengi
Sema mengi mkuu
 
Back
Top Bottom