- Thread starter
- #21
Duuu jamani mbona mnatiiyisha wakuuumeshindwa kutoboa kwenye forex sasa umetafuta chaka lingine ulize watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu jamani mbona mnatiiyisha wakuuumeshindwa kutoboa kwenye forex sasa umetafuta chaka lingine ulize watu
HowIjumaa tukutane tips ili tuzungumze biashara ya 4m
Duuuh bora tufunguaner maana mhh wengine hatuelewisure, sasa kama iyo digital marketing anayotangaza kwamba mtu akifanya atakuwa anapata hela ndefu kwa mwezi jamani mambo sio rahisi hivyo ndo maana na yeye amefikiria nje ya box aanze kufundisha watu ili apige pesa nyingi
Kaza huko huko basiHahaha hahahhahaha acha utani
Oya we dogo mr pipani huyu huyu mjasiria tumbo
Simple kaka kabla hujalipa fremu hakikishaTatizo sisi bila fremu hatuoni kama tunafanya biashara embu tupe madini
Kaka ntaandika tuSema mengi mkuu
dah broo ushavunja mashart kwa kuniita dogo mwenzako ukiniita dogo utajir nilionao unaanza kupungua ok ngoja tumwite mwana kwenye uwanja wa pesa , broo wa milion 4 njoo ofisin kwetu utakuta bango kubwa limeandikwa "wazee wa mikeka" ofis ipo hapahap jf huku broo ukija tunakupa hadi odd laki 1 piga hesabu laki moja mara milion 4 sasa huku hatutak milion yako nne yote we kula m4 yote bakiza teni tunakupa odd buku 5 unatia buku ten lako unakula milion 50 ndan ya dakika 90 baba mtoa mada hujawa tajiri hapo? we ni kupiga pesa tu ila nataman nikwambie na kingine ila huna kifua cha pesa usije ukafa kwa mstuko wenzio tunajaza chumba cha mita kumi kwa kumi noti za teni teni tu karibu sanaOya we dogo mr pipa
Mwambie huyu pimbi Elisha aache utapeli
Huyu mkinga gani tapeli?
Si bora mmpe odds 2 mleta mada kuliko anakotaka kumpeleka huyu fala Elisha
[emoji23] pipa kama pipadah broo ushavunja mashart kwa kuniita dogo mwenzako ukiniita dogo utajir nilionao unaanza kupungua ok ngoja tumwite mwana kwenye uwanja wa pesa , broo wa milion 4 njoo ofisin kwetu utakuta bango kubwa limeandikwa "wazee wa mikeka" ofis ipo hapahap jf huku broo ukija tunakupa hadi odd laki 1 piga hesabu laki moja mara milion 4 sasa huku hatutak milion yako nne yote we kula m4 yote bakiza teni tunakupa odd buku 5 unatia buku ten lako unakula milion 50 ndan ya dakika 90 baba mtoa mada hujawa tajiri hapo? we ni kupiga pesa tu ila nataman nikwambie na kingine ila huna kifua cha pesa usije ukafa kwa mstuko wenzio tunajaza chumba cha mita kumi kwa kumi noti za teni teni tu karibu sana
Mkuu hapo kwa mipango yy ni mtu mzima ameuliza biashara ipi , hakuuliza na afanyeje akianzisha ndio maana nlikomea kwa kutaja tu , nikimpa mfano tulimfungulia mtoto as mkwe pale tegeta kwa mtaji mdogo sana , ila kila nikimjulia hali anasema biashara imeshika kasi it took time ila mwishowe msingi umekita . Ile biashara inataka mtu ana patience ila ukishajulikana tu ndo hivoMkuu hardware mtu hajawahi kukaa dar unamwambia afungue hardware kwa 4M?
Hiyo pesa inabidi asiingize yote kwenye biashara atafute biashara yenye mtaji kiasi ila sehemu yenye move kubwa kama kkoo. Halafu akiba nyingine aweke pembeni.
Kuweka pesa yote kwenye biashara ni hatari sana tena jiji kama dar na biashara yenyewe ni hardware na sio mwenyeji huku.
Basi inatoshaKaka 2019 nililipia signals zako telegram ukanipeleka chaka
Wewe c Elisha chengula?
[emoji23][emoji23][emoji23] pole mkuu. Mjini hapa. Ndio yeye.Kaka 2019 nililipia signals zako telegram ukanipeleka chaka
Wewe c Elisha chengula?
[emoji23][emoji23][emoji23]dah forex imefilisi watu. Watu walizuzuliwa na mapichapicha instagram wanakula good life kumbe matapeli tu.umeshindwa kutoboa kwenye forex sasa umetafuta chaka lingine ulize watu
Digital marketing ni nzuri