Naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji wa milioni 4

sure, sasa kama iyo digital marketing anayotangaza kwamba mtu akifanya atakuwa anapata hela ndefu kwa mwezi jamani mambo sio rahisi hivyo ndo maana na yeye amefikiria nje ya box aanze kufundisha watu ili apige pesa nyingi
Duuuh bora tufunguaner maana mhh wengine hatuelewi
 
Oya we dogo mr pipa
Mwambie huyu pimbi Elisha aache utapeli

Huyu mkinga gani tapeli?

Si bora mmpe odds 2 mleta mada kuliko anakotaka kumpeleka huyu fala Elisha
dah broo ushavunja mashart kwa kuniita dogo mwenzako ukiniita dogo utajir nilionao unaanza kupungua ok ngoja tumwite mwana kwenye uwanja wa pesa , broo wa milion 4 njoo ofisin kwetu utakuta bango kubwa limeandikwa "wazee wa mikeka" ofis ipo hapahap jf huku broo ukija tunakupa hadi odd laki 1 piga hesabu laki moja mara milion 4 sasa huku hatutak milion yako nne yote we kula m4 yote bakiza teni tunakupa odd buku 5 unatia buku ten lako unakula milion 50 ndan ya dakika 90 baba mtoa mada hujawa tajiri hapo? we ni kupiga pesa tu ila nataman nikwambie na kingine ila huna kifua cha pesa usije ukafa kwa mstuko wenzio tunajaza chumba cha mita kumi kwa kumi noti za teni teni tu karibu sana
 
[emoji23] pipa kama pipa

Hujawahi niangusha
 
Mkuu hapo kwa mipango yy ni mtu mzima ameuliza biashara ipi , hakuuliza na afanyeje akianzisha ndio maana nlikomea kwa kutaja tu , nikimpa mfano tulimfungulia mtoto as mkwe pale tegeta kwa mtaji mdogo sana , ila kila nikimjulia hali anasema biashara imeshika kasi it took time ila mwishowe msingi umekita . Ile biashara inataka mtu ana patience ila ukishajulikana tu ndo hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…