IST 1490 ccWakuu nimeombwa ushauri wa gari zuri la kutembelea, Bajeti yake isizidi Mil.35. yaani Iwe 35M kuja chini. Binafsi si mtaalam, Anayehitaji ni Mkulima binafsi niliwaza angepata Double Cabin Toyota au Nissan lakini kwa nilizoziangalia nimekuta bei ikiwa Juu ya Bajeti, karibuni kwa ushauri ili nami nipate Kumshauri Kulingana na maoni yenu.
JF Kuna bangi sana ππππNipatie milioni 40 nikupe hii mashine ambayo inapita kote katika hali yoyote.
View attachment 2111426
Wakuu nimeombwa ushauri wa gari zuri la kutembelea, Bajeti yake isizidi Mil.35. yaani Iwe 35M kuja chini. Binafsi si mtaalam, Anayehitaji ni Mkulima binafsi niliwaza angepata Double Cabin Toyota au Nissan lakini kwa nilizoziangalia nimekuta bei ikiwa Juu ya Bajeti, karibuni kwa ushauri ili nami nipate Kumshauri Kulingana na maoni yenu.
Chukua Kluger ina himili shuruba na CC zake ni kawaida.Wenye kluger tunapack wanapopaki wenye ma prado na ma V8 na hata kwenye msafari wa harusi tupo mbele mbele karibia na gari la maharusi.Wakuu nimeombwa ushauri wa gari zuri la kutembelea, Bajeti yake isizidi Mil.35. yaani Iwe 35M kuja chini. Binafsi si mtaalam, Anayehitaji ni Mkulima binafsi niliwaza angepata Double Cabin Toyota au Nissan lakini kwa nilizoziangalia nimekuta bei ikiwa Juu ya Bajeti, karibuni kwa ushauri ili nami nipate Kumshauri Kulingana na maoni yenu.
Chukua huu ushauri asap...Hasa ile engine ya 3.0L, mwaka 2005 nakuendelea.Chukua Kluger ina himili shuruba na CC zake ni kawaida.Wenye kluger tunapack wanapopaki wenye ma prado na ma V8 na hata kwenye msafari wa harusi tupo mbele mbele karibia na gari la maharusi.
Trekta?Nipatie milioni 40 nikupe hii mashine ambayo inapita kote katika hali yoyote.
View attachment 2111426
Vp kuhusu klugger wadau maana niliipenda sababu ni gari ya juu kidogo au kama kuna gari mnishauri maana napenda gari ya juu sababu ya maeneo ninayoishi ni rough roadWakuu nimeombwa ushauri wa gari zuri la kutembelea, Bajeti yake isizidi Mil.35. yaani Iwe 35M kuja chini. Binafsi si mtaalam, Anayehitaji ni Mkulima binafsi niliwaza angepata Double Cabin Toyota au Nissan lakini kwa nilizoziangalia nimekuta bei ikiwa Juu ya Bajeti, karibuni kwa ushauri ili nami nipate Kumshauri Kulingana na maoni yenu.