Saidyahyasultan
Member
- Dec 2, 2012
- 67
- 21
Rafik habar zenu.mm nna tatizo moja ambalo linaniumiza kichwa,jambo ambalo niliuliza kwenye facebook hawakunipa jawab sahihi.
Jamn mm nna mdogo wang wa kiume ambae tulizaliwa tumbo moja na mama,lakini kwann yule mdogo wangu ni mwenye kunenepa lakini mm si nenepi?
Yeye anakula nini na mm nakula nn? Jaman naomba mnisaidie ili nijue kama kuna dawa au kuna mlo maalum unakula au jambo lolote lile ambalo nikifanya nitapata mwili kidogo,kwan najiona ovyo kwamba mdogo wang utadhan yy ndie kaka na mm utasema ndugu ngwa...
Kwa yeyote yule ambae atanijibu naomba anijibu kupitia maitandao hii:- saidyahya.abdalla@yahoo.com.
Au
saidyahyasultan@gmail.com au nitafute kwenye facebook .ID:-
-Hamiyar bin zayd.
Hii kwa sababu mm sijui kutumia jf,nahofia kwamba sito ona tena comment kwa hiyo majibu sito yaona....
Ahsanteni....
Jamn mm nna mdogo wang wa kiume ambae tulizaliwa tumbo moja na mama,lakini kwann yule mdogo wangu ni mwenye kunenepa lakini mm si nenepi?
Yeye anakula nini na mm nakula nn? Jaman naomba mnisaidie ili nijue kama kuna dawa au kuna mlo maalum unakula au jambo lolote lile ambalo nikifanya nitapata mwili kidogo,kwan najiona ovyo kwamba mdogo wang utadhan yy ndie kaka na mm utasema ndugu ngwa...
Kwa yeyote yule ambae atanijibu naomba anijibu kupitia maitandao hii:- saidyahya.abdalla@yahoo.com.
Au
saidyahyasultan@gmail.com au nitafute kwenye facebook .ID:-
-Hamiyar bin zayd.
Hii kwa sababu mm sijui kutumia jf,nahofia kwamba sito ona tena comment kwa hiyo majibu sito yaona....
Ahsanteni....