Egibert emily
Member
- Nov 10, 2018
- 5
- 7
Hiyo ndio Tanzania yetu unachokisoma na utakachofanya badae ni tofauti anyway sio vibaya kujishughulisha huku anasubir ajira Kila la kheri kwakeYaani msomi na usomi wako ukafanye kazi za kidemu hio elimu imekusaidije!
WapiMkuu njoo tufuge kuku
Naomba kazi za kiumeYaani msomi na usomi wako ukafanye kazi za kidemu hio elimu imekusaidije!
Yaani msomi na usomi wako ukafanye kazi za kidemu hio elimu imekusa
Kama umefanikiwa kimaisha tayari mshukuru Mungu.Yaani msomi na usomi wako ukafanye kazi za kidemu hio elimu imekusaidije!
Sahihi usemalo, hatafute vidada flani abageini nao apige kazi overKahama,muuzaji wa kiume,uji na maziwa. Sikukatishi tamaa huwezi fanikiwa unless utumie wadada. Tena pisi kali
Upo kahama mkuu ? mm naitaji hii channel unaweza nipa msaada wa infoMkuu njoo tufuge kuku