HPAUL
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 410
- 567
Naomba Ushauri wa eneo la biashara, nina vifaa vya solar PV ambavyo vinaweza kuanzisha biashara ya business center Itakayojihusisha na kuchaji simu, kinyozi, kuchapa barua, kuburn CD, TV/Video show na evening study room kwa wanafunzi wa primary/secondary.
Naomba mwana Jamii Forum yeyote anayefahamu kijiji chochote ambacho nitaweza kuanzisha biashara hii kilichopo katika mkoa wa Pwani/Dar es Salaam. Vigezo vya uchaguzi wa kijiji ni kama vifuatavyo:
Umbali sio tija lakini liwe mkoa wa Pwani au Dar es Salaam.
Naomba mwana Jamii Forum yeyote anayefahamu kijiji chochote ambacho nitaweza kuanzisha biashara hii kilichopo katika mkoa wa Pwani/Dar es Salaam. Vigezo vya uchaguzi wa kijiji ni kama vifuatavyo:
- Kiwe katika eneo ambalo umeme wa taifa - TANESCO (National Grid) haujafika na hautarajiwi kufika kwa miaka miwili ijayo.
- Eneo lenye wakazi wengi na lipo vizuri kiuchumi
- Barabara japo si ya lami lakini inapitika vizuri hata kwa gari ndogo (Saloon)
Umbali sio tija lakini liwe mkoa wa Pwani au Dar es Salaam.