Naomba Ushauri wa Kina Kuhusu Kilimo cha Maembe na Minazi

Naomba Ushauri wa Kina Kuhusu Kilimo cha Maembe na Minazi

Inategemea na aina ya mbegu...

Kwa uzoefu wangu wa kitaa-mbegu ni aina mbili maarufu hapa Tz:
1.kitamli...minazi midogo hivi...miaka kama 3 hadi 5 inazaa

2.kienyeji....minazi mirefu....miaka 5 hadi 7 inazaa

..unafahamu wazalishaji wowote wa kuaminika wa miche ya minazi mbegu ya kitamli?
 
Ndiyo hivyo, ambao tunajaribu kulima tunataabika sana kupata extension services.

I will tell you, kama ndiyo upo kwenye sector kama za horticulture ndiyo kabisa...thanks to Google and the internet walau unaweza kupata mawili matatu kule na thru wasap groups...wataalamu wa SUA biashara yao kubwa ni bar na gesti, hilo unaweza kujifunza kwao...wanaofanya kilimo huishia kuotesha miche na kuwauzia watanganyika wakahangaike nayo....

Bongo kwenye kilimo ni bure kabisa...huwezi kuamini mpaka uingie uyaone...unapata changamoto na huna wa kukusaidia, no wonder yields za African farmers are extremely low...

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo hivyo, ambao tunajaribu kulima tunataabika sana kupata extension services.

I will tell you, kama ndiyo upo kwenye sector kama za horticulture ndiyo kabisa...thanks to Google and the internet walau unaweza kupata mawili matatu kule na thru wasap groups...wataalamu wa SUA biashara yao kubwa ni bar na gesti, hilo unaweza kujifunza kwao...wanaofanya kilimo huishia kuotesha miche na kuwauzia watanganyika wakahangaike nayo....

Bongo kwenye kilimo ni bure kabisa...huwezi kuamini mpaka uingie uyaone...unapata changamoto na huna wa kukusaidia, no wonder yields za African farmers are extremely low...

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Nitamtafuta Mzee Nani Yule uliye mtaja anipe maelezo mkuu
 
Natumaini nyote hamjambo!

Mie naitwa Kakuyu, naomba ushauri mahsusi kutoka kwa waliokwishafanya Kilimo cha Maembe na Minazi.
Nina shamba lipo Kisarawe maeneo ya Masaki (Mji Mpya) lenye ukubwa wa Hekari 25. Niko kwenye kigugumizi kuhusu nilime zao gani ili nipate faida maana najua hakuna zao ambalo halina changamoto ila yapo mazao ambayo hayana changamoto kubwa sana.

Kiukweli ninahitaji ushauri kutoka kwa mtu ambaye ameshalima na kupata uzoefu kuhusu Maembe na Minazi. Ninataka ushauri wa uhakika kuwa kama mazao hayo (maembe na nazi) nikilima nitapata faida na vipi kuhusu changamoto zake kutokana na uzoefu mlioupata. Ninafikiria kulima nazi za kienyeji 400 na za kisasa 200) na miembe ya kisasa walau 1000 ila sijajua kiuhalisia kama nimazao ambayo yataweza kuninyanyua au nitakuwa mkulima jina tu.


Nitashukuruni sana kwa ushauri nitakaoupata kutoka kwa wanajamvi wenzangu ili niweze kufanya uhamuzi maana mvua za masika ziko karibuni ila bado sijafanya maamuzi kamili hivyo ushauri wako utakuwa muhimu sana.


Ahsanteni sana kwa ushauri na MUNGU awabariki sana....!
Mkuu ni miaka minne sasa imepita. Kuna mrejesho gani?
 
kama upo Dar nenda AMAGRO watakupa details za embe aina ya embe wapi utazipata na soko likoje. Mtafute Mzee Mkopi 0715 312036 ni wa msaada sana

Kuhusu nazi nenda ARI Mikocheni kama unaenda cocacola Mwenge, watafute wataalamu wa minazi watakupa aina ya minazi mizuri mbegu zinapatikana wapi na profit margin zake zikoje

acha uvivu ukitaka kufanya biashara ya kilimo fanya tafiti za kutosha maana ukikosea utajuta sana.
Asante mkuu
kama upo Dar nenda AMAGRO watakupa details za embe aina ya embe wapi utazipata na soko likoje. Mtafute Mzee Mkopi 0715 312036 ni wa msaada sana

Kuhusu nazi nenda ARI Mikocheni kama unaenda cocacola Mwenge, watafute wataalamu wa minazi watakupa aina ya minazi mizuri mbegu zinapatikana wapi na profit margin zake zikoje

acha uvivu ukitaka kufanya biashara ya kilimo fanya tafiti za kutosha maana ukikosea utajuta sana.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom