Inategemea na aina ya mbegu...
Kwa uzoefu wangu wa kitaa-mbegu ni aina mbili maarufu hapa Tz:
1.kitamli...minazi midogo hivi...miaka kama 3 hadi 5 inazaa
2.kienyeji....minazi mirefu....miaka 5 hadi 7 inazaa
Nikiyaacha nini kitatokea mkuu?Kata hayo maua, uache mti uendelee kukua mpaka upate kimo na uimara wa kutosha kubeba maembe ndiyo utaachia maya, hiyo ni miaka 2 hadi 3 hivi...
Tumia mkasi kukata maua
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mbona nimeshaeleza sababu bosi au hukusoma....mti unahitaji uimara kuweza kubeba uzito wa maembe, kama hauna huo uimara ni wazi kwamba utavunjika...Nikiyaacha nini kitatokea mkuu?
Sifahamu, lakini ukiwapata wale wa minazi ya kawaida watakupa taarifa za wapi unaweza kupata kitamli.....unafahamu wazalishaji wowote wa kuaminika wa miche ya minazi mbegu ya kitamli?
Mkuu Tafuta Mtu yeyote aliyepo SUA MOROSifahamu, lakini ukiwapata wale wa minazi ya kawaida watakupa taarifa za wapi unaweza kupata kitamli...
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kule SUA kama unataka kujifunza biashara ya gesti na Baa ndiyo kunafaa lakini siyo kilimo...kilimo utapoteza muda wako bure.Mkuu Tafuta Mtu yeyote aliyepo SUA MORO
Hee!Kule SUA kama unataka kujifunza biashara ya gesti na Baa ndiyo kunafaa lakini siyo kilimo...kilimo utapoteza muda wako bure.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ndiyo hivyo, ambao tunajaribu kulima tunataabika sana kupata extension services.Hee!
Nitamtafuta Mzee Nani Yule uliye mtaja anipe maelezo mkuuNdiyo hivyo, ambao tunajaribu kulima tunataabika sana kupata extension services.
I will tell you, kama ndiyo upo kwenye sector kama za horticulture ndiyo kabisa...thanks to Google and the internet walau unaweza kupata mawili matatu kule na thru wasap groups...wataalamu wa SUA biashara yao kubwa ni bar na gesti, hilo unaweza kujifunza kwao...wanaofanya kilimo huishia kuotesha miche na kuwauzia watanganyika wakahangaike nayo....
Bongo kwenye kilimo ni bure kabisa...huwezi kuamini mpaka uingie uyaone...unapata changamoto na huna wa kukusaidia, no wonder yields za African farmers are extremely low...
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mkuu ni miaka minne sasa imepita. Kuna mrejesho gani?Natumaini nyote hamjambo!
Mie naitwa Kakuyu, naomba ushauri mahsusi kutoka kwa waliokwishafanya Kilimo cha Maembe na Minazi.
Nina shamba lipo Kisarawe maeneo ya Masaki (Mji Mpya) lenye ukubwa wa Hekari 25. Niko kwenye kigugumizi kuhusu nilime zao gani ili nipate faida maana najua hakuna zao ambalo halina changamoto ila yapo mazao ambayo hayana changamoto kubwa sana.
Kiukweli ninahitaji ushauri kutoka kwa mtu ambaye ameshalima na kupata uzoefu kuhusu Maembe na Minazi. Ninataka ushauri wa uhakika kuwa kama mazao hayo (maembe na nazi) nikilima nitapata faida na vipi kuhusu changamoto zake kutokana na uzoefu mlioupata. Ninafikiria kulima nazi za kienyeji 400 na za kisasa 200) na miembe ya kisasa walau 1000 ila sijajua kiuhalisia kama nimazao ambayo yataweza kuninyanyua au nitakuwa mkulima jina tu.
Nitashukuruni sana kwa ushauri nitakaoupata kutoka kwa wanajamvi wenzangu ili niweze kufanya uhamuzi maana mvua za masika ziko karibuni ila bado sijafanya maamuzi kamili hivyo ushauri wako utakuwa muhimu sana.
Ahsanteni sana kwa ushauri na MUNGU awabariki sana....!
Ukiangalia profile yake, last activity ni 2017, kama yupo basi amebadili jina humu au kaacha kutumia JF....let's hope the best for her...Mkuu ni miaka minne sasa imepita. Kuna mrejesho gani?
Mzee Mkopi, Amagro office zipo magomeni kagera opposite na oil com...ukitokea ubungo, oil com ipo kushoto, ofisi zipo kulia kwa morogoro road...all the bestNitamtafuta Mzee Nani Yule uliye mtaja anipe maelezo mkuu
Ahsante Sana MkuuMzee Mkopi, Amagro office zipo magomeni kagera opposite na oil com...ukitokea ubungo, oil com ipo kushoto, ofisi zipo kulia kwa morogoro road...all the best
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mkuu maendeleo ya miche ikoje??Nimepanda Apple na Keit....250 each. Mwaka huu naongeza 250 Kent ifike 750 jumla.
Hizo ndiyo varieties ambazo AMAGRO inashauri members wake kupanda.
Asante mkuukama upo Dar nenda AMAGRO watakupa details za embe aina ya embe wapi utazipata na soko likoje. Mtafute Mzee Mkopi 0715 312036 ni wa msaada sana
Kuhusu nazi nenda ARI Mikocheni kama unaenda cocacola Mwenge, watafute wataalamu wa minazi watakupa aina ya minazi mizuri mbegu zinapatikana wapi na profit margin zake zikoje
acha uvivu ukitaka kufanya biashara ya kilimo fanya tafiti za kutosha maana ukikosea utajuta sana.
Asante mkuukama upo Dar nenda AMAGRO watakupa details za embe aina ya embe wapi utazipata na soko likoje. Mtafute Mzee Mkopi 0715 312036 ni wa msaada sana
Kuhusu nazi nenda ARI Mikocheni kama unaenda cocacola Mwenge, watafute wataalamu wa minazi watakupa aina ya minazi mizuri mbegu zinapatikana wapi na profit margin zake zikoje
acha uvivu ukitaka kufanya biashara ya kilimo fanya tafiti za kutosha maana ukikosea utajuta sana.