Naomba ushauri wa kisheria kama sitazulumika katika mauziano haya ya nyumba

Naomba ushauri wa kisheria kama sitazulumika katika mauziano haya ya nyumba

troiker

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
1,551
Reaction score
2,573
Kuna nyumba ya urithi,wanafamilia wahusika wote tumekubaliana kuiuza,na tumeandika muhtasari wa kikao cha kuuza,kiasi cha pesa na mgawanyo wake wote,tumeukabidhi mahakamani.

Jambo linalotutatiza ni jinsi ya kulipana,
Mnunuzi anasema tusaini makubaliano ya kuuziana ndipo aweke pesa kwenye bank account zetu.
Lakini baadhi yetu wanasema kusaini ni mpka pesa iingie kwenye account zao

Mauziano yanafanyika mbele ya wakili wa mahakama kuu,

Biashara inataka kushindikana kutokana na huu mvutano.

Pia hakimu mwenye faili letu alisema faili halifungwi mpaka tutakapopeleka ushahidi wa malipo halali kwenye account zetu ndio atalifunga

Naomba ushauri je Kipi kianze ili kunusuru huu mkwamo?
 
Kuna nyumba ya urithi,wanafamilia wahusika wote tumekubaliana kuiuza,na tumeandika muhtasari wa kikao cha kuuza,kiasi cha pesa na mgawanyo wake wote,tumeukabidhi mahakamani.

Jambo linalotutatiza ni jinsi ya kulipana,
Mnunuzi anasema tusaini makubaliano ya kuuziana ndipo aweke pesa kwenye bank account zetu.
Lakini baadhi yetu wanasema kusaini ni mpka pesa iingie kwenye account zao

Mauziano yanafanyika mbele ya wakili wa mahakama kuu,

Biashara inataka kushindikana kutokana na huu mvutano.

Pia hakimu mwenye faili letu alisema faili halifungwi mpaka tutakapopeleka ushahidi wa malipo halali kwenye account zetu ndio atalifunga

Naomba ushauri je Kipi kianze ili kunusuru huu mkwamo?
Kama mnasimamiwa na mahakama shida iko wapi?
 
Kalipaneni cash mahakamani na msainiane hati hapo hapo ,na pesa zenu mchukue hapo hapo ,

Au nendeni na hakimu ,Wakili wenu na bank muwe na meneja WA benk aingize pesa kwenye akaunti yenu na nyie msaini documenti zenu kuwa mmeuza.

Ila Hakimu kumtoa mahakamani uandae 60000 ya mafuta yake ya gari.
 
Kuna nyumba ya urithi,wanafamilia wahusika wote tumekubaliana kuiuza,na tumeandika muhtasari wa kikao cha kuuza,kiasi cha pesa na mgawanyo wake wote,tumeukabidhi mahakamani.

Jambo linalotutatiza ni jinsi ya kulipana,
Mnunuzi anasema tusaini makubaliano ya kuuziana ndipo aweke pesa kwenye bank account zetu.
Lakini baadhi yetu wanasema kusaini ni mpka pesa iingie kwenye account zao

Mauziano yanafanyika mbele ya wakili wa mahakama kuu,

Biashara inataka kushindikana kutokana na huu mvutano.

Pia hakimu mwenye faili letu alisema faili halifungwi mpaka tutakapopeleka ushahidi wa malipo halali kwenye account zetu ndio atalifunga

Naomba ushauri je Kipi kianze ili kunusuru huu mkwamo?
unaposema akaunti ZENU, akaunti ZAO, una maana kila mtu anapokea hela separately kutoka kwa mnunuzi ????

That whole thing is upside down, a total mess! Ndo maana mnunuzi kashtuka.

Hakuna Msimamizi wa Mirathi ? Yeye ndio anauza nyumba, anamalizana na mnunuzi baadae anawagawia nyinyi hela. Mnunuzi has nothing to do na ma akaunti yenu binafsi.

Na nyumba ya urithi maana yake nini ? Ilishakamilisha mchakato wa mirathi au bado iko kwenye jina la marehemu ?
 
unaposema akaunti ZENU, akaunti ZAO, una maana kila mtu anapokea hela separately kutoka kwa mnunuzi ????

That whole thing is upside down, a total mess! Ndo maana mnunuzi kashtuka.

Nyumba ya urithi maana yake nini ? Ilishakamilisha mchakato wa mirathi au bado iko kwenye jina la marehemu ?

Hakuna Msimamizi wa Mirathi ? Kama yupo yeye ndio anauza nyumba, anamalizana na mnunuzi baadae anawagawia nyinyi hela. Mnunuzi has nothing to do na ma akaunti yenu binafsi.
Ndivyyo tulivyokubaliana kila mmoja apokelee pesa kwenye account yake,kadhalika msimamizi hilo kakubaliana nalo na mnunuzi pia kakubali kufanya hivyo
 
unaposema akaunti ZENU, akaunti ZAO, una maana kila mtu anapokea hela separately kutoka kwa mnunuzi ????

That whole thing is upside down, a total mess! Ndo maana mnunuzi kashtuka.

Nyumba ya urithi maana yake nini ? Ilishakamilisha mchakato wa mirathi au bado iko kwenye jina la marehemu ?

Hakuna Msimamizi wa Mirathi ? Kama yupo yeye ndio anauza nyumba, anamalizana na mnunuzi baadae anawagawia nyinyi hela. Mnunuzi has nothing to do na ma akaunti yenu binafsi.
Nyumba ilikwisha kamilisha michakato yote ya kuingia kwenye miliki yetu na kuamua kuuza,


Issue hapa tukisaini ndipo aweke pesa iko sawa?
 
unaposema akaunti ZENU, akaunti ZAO, una maana kila mtu anapokea hela separately kutoka kwa mnunuzi ????

That whole thing is upside down, a total mess! Ndo maana mnunuzi kashtuka.

Nyumba ya urithi maana yake nini ? Ilishakamilisha mchakato wa mirathi au bado iko kwenye jina la marehemu ?

Hakuna Msimamizi wa Mirathi ? Kama yupo yeye ndio anauza nyumba, anamalizana na mnunuzi baadae anawagawia nyinyi hela. Mnunuzi has nothing to do na ma akaunti yenu binafsi.
Mkuu tatizo hapo hata msimamiz wa mirath haaminiki. Ninaona harufu ya vita kwenye hili. Yaani inaitwa weka niweke. Toa nitoe au basi.

Na ndio maana unasikia kuweka kwenye akaunti zetu. Yaani Kila mtu anataka aone mzigo kwenye akaunti. Halafu haya maisha bana
Kwa ambae anajua adha ya ujenzi na ikiwa wanauza bila kuliwaza hili la ya urithi ninkama matumizi ya tamaa yyt ni laana hiyo
 
Mkuu tatizo hapo hata msimamiz wa mirath haaminiki. Ninaona harufu ya vita kwenye hili. Yaani inaitwa weka niweke. Toa nitoe au basi
Sasa wewe umenielewa,je tukisaini ndipo aweke pesa kuna tatizo?
 
Inatakiwa win win situation na mnunuz anatakiwa alijue Hilo aweke apokee Saini. Hapo Tena inatakiwa dole gumba, maana finger print haidanganyi,haikataliki
Shukrani sana
 
Yaani mmefikia hatua hamuaminiani kiasi hiki?

Mmeshaenda mahakamani kila kitu kipo kisheria kwanini bado mnaogopa? Wekeni sahihi mchukue hela nyie watu.

Hata ingekuwa mimi nisingewapa hela hadi msaini. Nyumba za urithi ni kasheshe sana, unanunua leo kesho unaitwa mahakamani ndugu wengine wamefungua kesi. Ikiwa nyinyi mmeshakubaliana sioni kwanini hamuiamini mpaka mahakama. Uzuri mmefuata hatua zote. Mkisaini na asipoweka hela si mnarudi mahakamani kumshtaki?
 
Mnaweza mka saini huo mkataba mkauacha mahakamani/hakimu kisha mkaongozana na mnunuzi hadi benki kuhakikisha amelipa. Baada ya kulipa kwa wote ndio anakabidhiwa mkataba.
 
Back
Top Bottom