troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,551
- 2,573
Kuna nyumba ya urithi,wanafamilia wahusika wote tumekubaliana kuiuza,na tumeandika muhtasari wa kikao cha kuuza,kiasi cha pesa na mgawanyo wake wote,tumeukabidhi mahakamani.
Jambo linalotutatiza ni jinsi ya kulipana,
Mnunuzi anasema tusaini makubaliano ya kuuziana ndipo aweke pesa kwenye bank account zetu.
Lakini baadhi yetu wanasema kusaini ni mpka pesa iingie kwenye account zao
Mauziano yanafanyika mbele ya wakili wa mahakama kuu,
Biashara inataka kushindikana kutokana na huu mvutano.
Pia hakimu mwenye faili letu alisema faili halifungwi mpaka tutakapopeleka ushahidi wa malipo halali kwenye account zetu ndio atalifunga
Naomba ushauri je Kipi kianze ili kunusuru huu mkwamo?
Jambo linalotutatiza ni jinsi ya kulipana,
Mnunuzi anasema tusaini makubaliano ya kuuziana ndipo aweke pesa kwenye bank account zetu.
Lakini baadhi yetu wanasema kusaini ni mpka pesa iingie kwenye account zao
Mauziano yanafanyika mbele ya wakili wa mahakama kuu,
Biashara inataka kushindikana kutokana na huu mvutano.
Pia hakimu mwenye faili letu alisema faili halifungwi mpaka tutakapopeleka ushahidi wa malipo halali kwenye account zetu ndio atalifunga
Naomba ushauri je Kipi kianze ili kunusuru huu mkwamo?