Achapombe cha pombe
Member
- Feb 11, 2023
- 96
- 182
Mirathi achana nayo kabisa.Yaani mmefikia hatua hamuaminiani kiasi hiki?
Mmeshaenda mahakamani kila kitu kipo kisheria kwanini bado mnaogopa? Wekeni sahihi mchukue hela nyie watu.
Hata ingekluwa mimi nisingewapa hela hadi msaini. Nyumba za urithi ki kasheshe sana, unanunua leo kesho unaitwa mahakamani ndugu wengine wamefungua kesi. Ikiwa nyinyi mmeshakubaliana sioni kwanini hamuiamini mpaka mahakama. Uzuri mmefuata hatua zote. Mkisaini na asipoweka hela si mnarudi mahakamani kumshtaki?
Wasipogombama watoto ndg upande wa mama au. Baba