Ndugu wanajf law,nnaswali ambalo ntashukuru kama litajibiwa.
Suppose kutokana na matatizo ya kiafya either ya mmoja wapo kati ya Mke au Mume,hawawezi kupata watoto.Na wakaamua ku adopt mtoto,and suppose baada ya ku adopt mtoto hali ya ndoa haikwenda sawa na kulazimisha either separation au Divorce.Je nani anabaki na custody ya mtoto? Mwanaume au mwanamke?na sheria zinasemaje juu ya hili?
Suppose kutokana na matatizo ya kiafya either ya mmoja wapo kati ya Mke au Mume,hawawezi kupata watoto.Na wakaamua ku adopt mtoto,and suppose baada ya ku adopt mtoto hali ya ndoa haikwenda sawa na kulazimisha either separation au Divorce.Je nani anabaki na custody ya mtoto? Mwanaume au mwanamke?na sheria zinasemaje juu ya hili?