mkada
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,200
- 907
Habari wana bodi,
Mimi ni mstaafu wa umma, katika maisha yangu nimekuwa na ndoto ya kuanzisha kampuni ya kuhuisha taka chafu na kwa sasa naona nina muda wa kutosha sasa kusimamia shughuli zangu.
Naomba ushauri kwa wenye uelewa wa biashara hii ya kuhuisha taka chafu kama chupa, plastic na taka zingine.
Mimi ni mstaafu wa umma, katika maisha yangu nimekuwa na ndoto ya kuanzisha kampuni ya kuhuisha taka chafu na kwa sasa naona nina muda wa kutosha sasa kusimamia shughuli zangu.
Naomba ushauri kwa wenye uelewa wa biashara hii ya kuhuisha taka chafu kama chupa, plastic na taka zingine.