Naomba ushauri wa kuchukua mkopo benki

Naomba ushauri wa kuchukua mkopo benki

Joined
Jan 11, 2013
Posts
63
Reaction score
16
Heshima kwenu wakuu!!Mimi nimtumishi wawizara ya Afya ninataka kuchukua mkopo Wa fedha Benki.Je ni benki gani ambayo ina masharti yaliyo nafuu na riba ndogo.

Naomba USHAURI tafadhali jamani.
 
je mtumishi wa umma wewe unachukulia mshahara wako benki gani? anzia hapo kisha ulinganishe na benki nyingine....sawa?
 
Back
Top Bottom