patella
Senior Member
- Oct 12, 2020
- 114
- 325
Wakuu habari?
Kuna gari nataka kununua baada ya kuliona kwenye page ya dalali wa magari ambae yuko mwanza na gari iko mwanza, nilimpigia simu fresh tukaongea akasema inabidi nitume nusu ya hela nitakayonunua ilo gari na pia hela ya dereva ambae ataendesha iyo gari ije dar.
Sasa wakuu wenye uzoefu na kununua gari kwa mtu naomba mnijuze haya mambo huwa yananyikaje kuhakikisha sitapeliwi? ni vipi nihakiki uhalali wa iyo gari?
NB:Bado sijamtumia hela yoyote ila kesho j5 ndo nimepanga kutuma izo ela.
Sijawahi kununua gari ya mkononi kwa mtu na mbaya zaidi gari ipo mkoani.
Kuna gari nataka kununua baada ya kuliona kwenye page ya dalali wa magari ambae yuko mwanza na gari iko mwanza, nilimpigia simu fresh tukaongea akasema inabidi nitume nusu ya hela nitakayonunua ilo gari na pia hela ya dereva ambae ataendesha iyo gari ije dar.
Sasa wakuu wenye uzoefu na kununua gari kwa mtu naomba mnijuze haya mambo huwa yananyikaje kuhakikisha sitapeliwi? ni vipi nihakiki uhalali wa iyo gari?
NB:Bado sijamtumia hela yoyote ila kesho j5 ndo nimepanga kutuma izo ela.
Sijawahi kununua gari ya mkononi kwa mtu na mbaya zaidi gari ipo mkoani.