Naomba ushauri wa kununua gari kwa mtu alie mbali (mkoani)

Naomba ushauri wa kununua gari kwa mtu alie mbali (mkoani)

daaaah [emoji23][emoji23]
Angali na kuwa makini mzee, hio hela sio ndogo. Gari kwa picha inaweza kuwa imenyooka kweli ila engine ikawa ishafunguliwaga pengine imefanyiwa overhaul hutajua. Au ina knock ya mbali hutajua! Huwezi kuagiza gari kama pea ya kiatu mkuu.

Gharama za matengenezo na headache ni kubwa sana unless unalichukua kwa mtu unayemfahamu na pia hio gari isiwe tofauti na Toyota tu. Utanishukuru baadae.
 
Tatizo muda mkuu, katika week yenye siku 7 ninapumzika siku moja tu tena saa zingine hakuna kabisa, sasa muda wa kwenda mwanza nitatoa wapi?
Kama huwezi kutenga siku mbili ukaja mwanza kuokoa pesa yako basi utalazwa wiki mbili kwa sababu ya pressure tuone huo muda wa kulazwa kama utakosa. Hao vijana nawajua ila siwaamini. Unless kama ni kampuni ya madalali wa mahakama.
 
Kesho nitakua mwanza. Kama utaniamini, nielekeze keshokutwa nikaliangalie hilo gari.

Sioni haja ya wewe kuingia gharama ya kusafiri na fundi. Nenda mpaka mwanza , mafundi utapata huko huko. Ila hakikisha unamtoa sehemu tofauti na ilipo hiyo gari.
 
Ni kweli mkuu unachosema lakini hii gari ni imekua zali yani ni gari kali mmiliki anauza sababu ya shida yani anahitaji pesa ya haraka aokoe mambo yake
Wewe ni rahisi sana kutapeliwa mkuu.
 
Ni kweli mkuu unachosema lakini hii gari ni imekua zali yani ni gari kali mmiliki anauza sababu ya shida yani anahitaji pesa ya haraka aokoe mambo yake
Ukitaka kufanya biashara, kiwango cha huruma kiwe chini ya 30%
 
Aiseee usije ukatuma chchte hao nimatapeli tena husema mmiliki anashida so wanakuwekea bei ndogo ili ushawishike kumbe ni wezi kabsa usije jaribu
Inawezekana ni matapeli kweli mkuu ndo mana nikaleta uzi chap, takua makini
 
Angali na kuwa makini mzee, hio hela sio ndogo. Gari kwa picha inaweza kuwa imenyooka kweli ila engine ikawa ishafunguliwaga pengine imefanyiwa overhaul hutajua. Au ina knock ya mbali hutajua! Huwezi kuagiza gari kama pea ya kiatu mkuu.

Gharama za matengenezo na headache ni kubwa sana unless unalichukua kwa mtu unayemfahamu na pia hio gari isiwe tofauti na Toyota tu. Utanishukuru baadae.
Nimeelewa mkuu,shukrani kwa ushauri
 
Kama huwezi kutenga siku mbili ukaja mwanza kuokoa pesa yako basi utalazwa wiki mbili kwa sababu ya pressure tuone huo muda wa kulazwa kama utakosa. Hao vijana nawajua ila siwaamini. Unless kama ni kampuni ya madalali wa mahakama.
[emoji23][emoji23], nashukuru mkuu kwa ushauri wako mzuri
 
Ni kweli mkuu unachosema lakini hii gari ni imekua zali yani ni gari kali mmiliki anauza sababu ya shida yani anahitaji pesa ya haraka aokoe mambo yake
Kuna wimbo wa King Kaka unaitwa Wajinga nyinyi ni bonge la wimbo mzee baba.
 
Back
Top Bottom