permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Wakuu nianze kwa kutoa salamu kwa wote ikiwa ni pamoja na pole kwa mihangaiko ya siku. Tukirudi kwenye kwenye kichwa cha habari, nimekiwa nikiishi kwenye nyumba za kupanga karibia miaka mitano hapa dar ila kwa sasa nafikiria nitafute kiwanja nijenge.
Wazo la kwanza nafikiria nitafute kiwanja dar cha around 10M hivi ila naona viwanja vingi vizuri ni ghali na hii M10 pengine naweza pata maeneo ya pembezoni ambayo sio mazuri sana.
Wazo la pili ni kununua kiwanja kikubwa vizuri na rahisi maeneo ya Kibaha au njia ya kwenda Bagamoyo na niwe naenda mjini asubuhi ns kurejea jioni. Maeneo ya Kibaha na njia ya Bagamoyo naweza pata kiwanja kwa 5M pekee. Niombe mtu alie na uzoefu wa viwanja / ujenzi tuweze kubadilishana uzoefu hapa.
Natanguliza shukrani.
Wazo la kwanza nafikiria nitafute kiwanja dar cha around 10M hivi ila naona viwanja vingi vizuri ni ghali na hii M10 pengine naweza pata maeneo ya pembezoni ambayo sio mazuri sana.
Wazo la pili ni kununua kiwanja kikubwa vizuri na rahisi maeneo ya Kibaha au njia ya kwenda Bagamoyo na niwe naenda mjini asubuhi ns kurejea jioni. Maeneo ya Kibaha na njia ya Bagamoyo naweza pata kiwanja kwa 5M pekee. Niombe mtu alie na uzoefu wa viwanja / ujenzi tuweze kubadilishana uzoefu hapa.
Natanguliza shukrani.