Naomba ushauri wa kupata simu ya nzuri za iPhone

safi sn kwa elimu nzur

Hivo ni mda gan sahihi wa data kuwa off na kuwa on

Yan angalau baada ya mda gan unaweza iwasha kama ulikua umeizima?
 
Wakuu kwa hiyo badala ya Sumsung A20 ipi inaweza kuwa mbadala wake kwa bajeti zetu hizi make inacheza 200,000 hadi 300,000? Ni simu ipi inaweza kufaa kqa kuanzia specifications na durability??
 
wanajifanya wanaoptimize[emoji16][emoji16].

kwamba namba ya betry sio ishu,wakati kuna madude ya 6000mah,unakaa nalo siku mbili na halizimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…