racka98
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 1,041
- 1,541
Wanataka iPhone hao. Sisi wazee wa Android acha tuenjoy simu nzuri kwa bei rahisi tu.Kwanini utumie simu ya zamani mkuu, nunua simu ya mwaka huu yenye specs kali kwa bei ya wastani, nenda kwa Xiaomi Redmi Note 10 au ongeza pesa kidogo uchukue Redmi Note 10 Pro, kamera kali 64MP/128MP, screen kubwa 6.7'' SuperAmoled, Snapdragon.....