Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapohapo usihame mkuu ni hatariYale mambegu ya epinav vipi
Njoo kwa fide mamba babati utapata kila huduma Bora mpaka ushauri mkuu mbegu za f1 zinapatikana, karibuWakuu niko babati nahitaji kuanzisha shamba langu la nyanya .
Naomba kujua mbegu gani bora kwa kilimo cha biashara.
Pia vitu gani vya msingi natakiwa kuvizingatia.
Hii ni kwa mikoa yote mkuu auMkuu hongera Sana.Ila nakupa tahadhari ya Bei utakayokutana nayo unapovuna:haitakuwa rafiki.Kama utavumilia ili Mavuno yako yaingie Sokoni Mwezi Disemba Hadi Marchi utakutana na bei nzuri.Kiangazi bei Siyo rafiki Sana.Ni Ushauri Tu.
Epinav hawana mbegu ya kuizidi dhahabu.Mkuu watafute Hawa jamaa wa Epinavi Aggro solution Wana mbegu nzuri sana kama
Tanzanite F1
Captain F1
Bansali
Salina na miraco F1
Mimi Nina Tanzanite F1 ni habari nyingine kabisa Kwa upande wa mbegu ya nyanya
Hizo zingine kama dhahabu,imara zisubiri kwanza ahsantee.
Nadhani umekalili wewe. Mimi kwenye shamba langu Kuna Imara F1, Dhahabu F1, Tanzanite F1, Bansali F1, captain f1 na Salina F1.Epinav hawana mbegu ya kuizidi dhahabu.
Asante mkuu nitafuatilia hii pia
Asee mkuu nipe mbinu nataka nilime mbegu isiyohitaji mitiMkuu
Nadhani umekalili wewe. Mimi kwenye shamba langu Kuna Imara F1, Dhahabu F1, Tanzanite F1, Bansali F1, captain f1 na Salina F1.
Lkn amini usiamini hizo zote za Epinavi zinafanya vzr kuliko dhahabu na imara na lengo lilikuwa Hilo kushindanisha maana Mimi sipendi kusimuliwa Wala hadithi nimegundua jamaa ni level nyingine labda Kwa mazao mengine ambayo sijalima mbegu Yao lkn Kwa nyanya nimenyoosha mikono.
Awali ya yote nilkuwa nalima imara na dhahabu tu ndo nilkuwa naziamini.