Naomba ushauri wa mbegu gani bora kilimo cha Nyanya.

Naomba nije kujifunza mkuu unalima wap ndugu?

Nataka kusia mbegu Tar 1 august 2024
 
Bei zake zinaendaje mkuu
 
Toa elimu ya matumizi ya mbolea na maji . Je nitatimia mbolea kiasi gani kwa heka 1 na petroli kiasi gani kumwagilia ? Namwagilia mara ngapi kwa wiki, nina heavy duty water gun na sprinler 3 ndogo. Pampu nchi tatu maji yanapita hapo hapo shambani .
Nahitaji muongozo. Kusia mbegu mwezi wa 9 na kuendelea. Project mjombe.
 
Bansali F1 vipi mkuu....maana Tanzanite simudu bei ipo juu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…