Hello, habari za muda huu! Wapendwa, naombeni ushauri kutoka kwa yeyote aliye na uzoefu na hali kama yangu na jinsi alivyofanikiwa kuondokana nayo. Mimi ninasumbuliwa sana na tatizo la kupata hedhi endelevu; naweza nikableed hata miezi mitatu mfululizo. Kwakweli, napitia changamoto kubwa na bado sijapata mtoto.
Juzi nilijaribu kumshirikisha ndugu yangu na akanishauri ninunue dawa ya Duphaston nitumie. Je, hii ni sahihi? Kama kuna daktari humu tafadhali naomba ushauri wako kuhusu hili.
Na kabla sijamaliza, napenda kusema kwamba niliwahi kwenda kufanya kipimo cha ultrasound mara tatu na majibu yalikuwa yanaonyesha kwamba kwenye mfuko wa uzazi kuna uchafu mwingi. Walinishauri nisafishe. Swali langu ni kwa nini kila mara imekuwa hivyo? Shida inaweza kuwa nini?
Naomba msaada wenu, asanteni.
Pole sana Kwanza :
OVER-BLEEDING IN NATURAL HEALTH KNOWLEDGE AND TREATMENT PLAN :
Kwa mwanamke mfumo wa uzazi upo chini ya mfumo wa INI & NYONGO / LIVER & GALLBLADDER SYSTEM ( LG )
Mfumo wa Ini Kazi zake ni kama ifuatavyo:
1. Kuzalisha maamuzi /Generate decisions
2. Kusaidia umeng’enyaji wa chakula / Helps digestions
3. Huhifadhi damu / Stores blood
4. Umeunganishwa na Tendons , kucha, macho,
5. Kwa mwanamke mfumo wa INI Hudhibiti /Control Fertility / Uzazi , Breast/ Maziwa au matiti, Ovaries , Uterus
Katika hedhi mfumo wa Ini huhusika kwa kuachia damu kwa ajili ya kuendeshea Hedhi ,
Sasa jambo hili hutegemea sana Afya ya Mfumo husika utendaji wake ( Energy Imbalance) kusababisha hormone kuvurugika
Katika Elimu asili (Heshoutang Natural Health system Knowledge) ; tatizo la over bleeding Husababishwa na energy kuwa weak / dhaifu kwenye Mfumo , hivyo kushindwa kushikilia damu kwa muda mrefu , na tatizo la Over-bleeding kutokea
Kwa maana nyingine Fire energy iko low kwenye Mfumo hivyo mfumo kuwa dhaifu ,
Tutahitaji kukufanyia diagnosis, ili kujua hali halisi ya kiafya na kutoa matibabu stahiki
Matibabu yetu ni dawa asili zenye uwezo mkubwa sana duniani , kuweza tibu kila shida ya kiafya mtu anasumbuka nayo , haijalishi ni ngumu kiasi gani , wewe tupigie na shirikiana nasi na tutakusaidia na kuondosha tatizo lako kabisa
Dawa zetu zinatoka nchini Marekani, ni elimu ya watu wa China ( Traditional Chinese medicine “ TCM “) .
Tupigie kwa namba kwenye kipeperushi chetu , usipokuwa airtel usipige , badala yake
0653048888 / 0757577995