Maduka yapo wapi mkuu usichoke
Ndugu yangu, Kariakoo kuna maduka ya suti za harusi. Kuna duka linaitwa Kwamringi nafikiri ni mtaa wa Aggrey karibu na bank moja. Ukiwa Kariakoo ukiulizia kuna maduka mengine mengi tu. Sinza pia kuna maduka ya suti za harusi ila bei zao ziko juu ingawa nguo zao nyingi zinafanana na zile za Kariakoo! Wahi mapema zunguka kariakoo utafanikiwa!