Naomba Ushauri wako

Persie

Senior Member
Joined
May 2, 2012
Posts
188
Reaction score
15
Kachaguliwa st John's ya dar (st mark's) BAF lakini yupo saut anapiga pre entry programme BBA in procurement anaomba ushauri aende wapi, na wapi kuna soko kubwa la ajira?
 
Aiseee baba yangu mi nadhani ungekwenda tcu ukaombe wakupe ushauri coz pale ndipo kwenye wataalamu
 
Alie soma/anaesoma St John hiyo BAF funguka kuhusiana na quality yake ukilinganisha na BAF ya vyuo vingine kama Mzumbe na Muccobs
 
dogo bongo hapa kwa sasa procurement hiko juu, asikwambie mtu. nakushauri ukasome hiyo manunuzi prokyuament, mana sio vyuo vingi vinafundisha hiyo. pia ukiangalia hata serikialini wametilia mkazo swala la procurement.
nikwambie dogo, baf , bcom, bachelor of accounting, ni kitu kimoja kuna maelfu na maelfu ya watu katika field hizo. pia kutoka katika field hiyo ni kujuana au kama wewe ni kichwa kweli. kichwa cha kupata first class au upper second kali ambazo hizo ni za ma TOOO. KASOME MANUNUZI MDOGO WANGU ,USIJE UKATUSUMBUA MTAANI HELA YA KULA
 
Tatizo lenu vijana ni kwamba nyote by instinct ni mafisadi hata kama post zenu nyingi hapa ni za kulaani mafisadi. Mnalaani kwa vile hamjapata nafasi ya kuingia lakini malengo yenu ni kujiunga katika kundi la mafisadi. Financial sector hapa Tz ni kubwa na inaendelea kukuwa na kuwa diversified. Kwa hiyo kama unayo BAF 'worth the salt' prospect ni nyingi. Lakini ni sector inayoangalia vichwa siyo makaratsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…