Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
anamaanisha project. vipi unaweza kumpa musaada wa mutaji?. hata ushauli utatosha.Muladi ni aina ya dawa au mbolea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anamaanisha project. vipi unaweza kumpa musaada wa mutaji?. hata ushauli utatosha.Muladi ni aina ya dawa au mbolea?
anamaanisha project. vipi unaweza kumpa musaada wa mutaji?. hata ushauli utatosha.
Jamaa mbishi sana 4m inaweza lima heka 4 za matikiti kimasikini na ukapata super profit
Ndugu yangu kama garama zingekuwa kubwa hivi wakulima wasingekuwepo huu mchanfanuo umeufanya kishule shule zaidi na sio kuhalisia .
Kiuhalisia garama ya eka 2 ni laki sita tu hadi unavuna.ukiondoa garama za usafirishaji hadi sokoni kwani unaweza kuuzuia shambani.
Mimi nimelima eka 1 Ruvu nimetumia laki 3 ila ya mvua za masika