Naomba ushauri wenu juu ya mambo haya, maana mwenyewe imefika mahali nimeanza kukata tamaa

Naomba ushauri wenu juu ya mambo haya, maana mwenyewe imefika mahali nimeanza kukata tamaa

matajiri ni wachache duniani, coz wanafanya kitu ambacho wengne wameshindwa kukifanyaa, forex ni ngumu, ila ugumu ukiishaa ni raha ya milele, watoto wa matajiri hawawezi kufanyaa forex coz wanajua ni ngumu sana hesabu kama zote, halafu ni mental game yaani unaweza kula msosi ukashibaa, ukianza kusoma hii kitu kwa masaa 2 unapata njaa ya hatari na mchoko wa hatari coz akiri inatumika sanaa than normal
 
pole sana mdogo wangu..ushauri wangu achana na forex lakini pia kama unavuta bange acha..anza kutafuta pesa real..mil5 ni mtaji tosha kabisa wa kutoka kama ubongo wako unafanya kazi...nilishawahi kufanya biashara kwa mtaji wa mil6 nikapata faida mil 11 tena biashara ya miswaki tu kuagiza china mafara utawaskia wanasema chai...achana na hizo ndoto za kutajirika kwa forex
 
You are addicted "Take a risk that you are willing to lose" Hiyo ni kanuni ya kwanza ya volatile trades.Anyway kwa sasa siwezi kukushauri zaidi ya kukwambia find real money achana na Forex.Create real value. OVA
ushauri mzuri sana huu
 
hongera kwa mapambano
kuna mambo kadhaa nimeyaona ambayo ukifanikiwa kuacha itakusaidia

1. acha ku trade
2. ogopa pesa hasa za watu
3. weka malengo na namna yakuyafikia
4. jikumbushe hakuna shortcut inayo last long
 
Kwa hiyo hakuna biashara yoyote unayoweza kuifanya zaidi ya forex? hivi kweli mmepoteza milioni 70 ya watu halafu wamewaachia tu free?
Yeah mtu naona fanye nini na hauna kitu, labda akuue kutoa hasira halafu anaona haina maana. N alishuhudia wakati wa faida na ameona loss ilivyokuja.

Huyu jamaa kinachomgharimu ni papara za kijinga, kuanzia katiaka loss zake na hiyoya 70M alitakiwa ajifunze ku slow down, forex inaonekana anafanya kama kazi ya ku trade kila siku na anaweka mizigo mikubwa.

Jinsi ya kuwaambia kuwa umepoteza milioni 5, ndio ushauri anaoomba. Ushauri ni kuwa UKWELI UTAMUWEKA HURU, awaambie tu bila kupepesa macho, na asiwashirikishe katika hiyo michakato tena, kama ataendelea iwe ni ya kwake tu.
Pia aombe kusamehewa huko alipokopa kama possible, wakikataa kabisa aombe liwe deni na wampe muda atakapokaa sawa atarejesha.
Ni muda afanye biashara nyingine hata kama forex ataendelea nayo pia.

Forex ni biashara kweli lakini inataka miundombinu na uzoefu kweli kweli
 
Back
Top Bottom