ushauri mzuri sana huuYou are addicted "Take a risk that you are willing to lose" Hiyo ni kanuni ya kwanza ya volatile trades.Anyway kwa sasa siwezi kukushauri zaidi ya kukwambia find real money achana na Forex.Create real value. OVA
Yeah mtu naona fanye nini na hauna kitu, labda akuue kutoa hasira halafu anaona haina maana. N alishuhudia wakati wa faida na ameona loss ilivyokuja.Kwa hiyo hakuna biashara yoyote unayoweza kuifanya zaidi ya forex? hivi kweli mmepoteza milioni 70 ya watu halafu wamewaachia tu free?