ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
ulichoita kiwanja kina urefu wa mita 20 na upana wa mita 16!!!!
no ni urefu wa mita 18 kwa upana wa mita15
WanaJF habari
naomba ushauri wenu kwani nataka kujenga ya kawaida ambayo haitagharimu pesa nyingi kwani
mimi ni mtoto wa mkulima naomba maoni, na vifaa mniandikie hapa namna gani naweza kujenga nyumba ya
kawaida yenye vyumba sita na sitting room na choo kiwe cha ndani maana kutoka nje naogopa
waungwana nisaidieni basi kwa mchangowenu wa ushauri na maoni
kiwanja ninacho kina urefu wa futi 50 x60upana sasa nianzaje kuweka hiyo ramani na je nitafanyeje
nisaidieni kwa ushauri wenu
Hapa utakumbana na madalali fundi hapa.
Maana inaonekana kilamtu anaweka ugum ili uende chamber of kibano.
Huko atakuletea mambo ya upembuzi yakinifu, Fizibility studies,menobility studies akiingia kwenye chemibility study umeibiwa.
Kuna link humu ilieleza kwa kirefu sana,kwepa sana mtu kujifanya ni mtaalam wa mambo hayo eti aje akusaide kutokea humu,ujue ana njaa huyo utaumia.
Sie wengine tumejenga na mafundi wa mtaani mpaka leo nyumba zetu zipo.