ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
WanaJF habari
naomba ushauri wenu kwani nataka kujenga ya kawaida ambayo haitagharimu pesa nyingi kwani
mimi ni mtoto wa mkulima naomba maoni, na vifaa mniandikie hapa namna gani naweza kujenga nyumba ya
kawaida yenye vyumba sita na sitting room na choo kiwe cha ndani maana kutoka nje naogopa
waungwana nisaidieni basi kwa mchangowenu wa ushauri na maoni
kiwanja ninacho kina urefu wa futi 50 x60upana sasa nianzaje kuweka hiyo ramani na je nitafanyeje
nisaidieni kwa ushauri wenu
naomba ushauri wenu kwani nataka kujenga ya kawaida ambayo haitagharimu pesa nyingi kwani
mimi ni mtoto wa mkulima naomba maoni, na vifaa mniandikie hapa namna gani naweza kujenga nyumba ya
kawaida yenye vyumba sita na sitting room na choo kiwe cha ndani maana kutoka nje naogopa
waungwana nisaidieni basi kwa mchangowenu wa ushauri na maoni
kiwanja ninacho kina urefu wa futi 50 x60upana sasa nianzaje kuweka hiyo ramani na je nitafanyeje
nisaidieni kwa ushauri wenu