hapo kuna mawili, dushe haijiamini amah inaona aibu...najaribu ku imagine uso wako utakavyokuwa pindi utakapopata text kama hii "bae..nije leo?"Wana jamii forum nilikuwa na uliza swali moja mm niko kwenye mahusiano kwa kipindi kuna changamoto niliyo kutana nayo hivi karibuni nilikuwa na mpenzi wangu katika hali ya kutaka kufanya tendo la kujamiana uume ghafla ukanyea hofu na mashaka vikanitawala kwa siku hiyo kikwel nilishindwa ila nika sema ngoja nijaribu kesho kutwa hali ilikuwa vile vile nataka kujua ni tatizo la kisakolojia au nguvu za kiume zimepungua