Naomba ushauri

Naomba ushauri

Wana jamii forum nilikuwa na uliza swali moja mm niko kwenye mahusiano kwa kipindi kuna changamoto niliyo kutana nayo hivi karibuni nilikuwa na mpenzi wangu katika hali ya kutaka kufanya tendo la kujamiana uume ghafla ukanyea hofu na mashaka vikanitawala kwa siku hiyo kikwel nilishindwa ila nika sema ngoja nijaribu kesho kutwa hali ilikuwa vile vile nataka kujua ni tatizo la kisakolojia au nguvu za kiume zimepungua
hapo kuna mawili, dushe haijiamini amah inaona aibu...najaribu ku imagine uso wako utakavyokuwa pindi utakapopata text kama hii "bae..nije leo?"
 
Hiyo hali ni kawaida na inachangiwa na vitu vya kawaida tu,
malaria pia yanasababisha hiyo hali,
sometimes Ukiona mashine haijasimama basi ujue mzunguko wa damu hauko vizuri,
So concentration ni muhimu
Duh mkuu hio malaria ya wapi ulaya mpaka ipate viagra? Mbona mimi hii kitu haijawahi nitokea na nishatembea na wanawake zaidi ya karne moja. Tumuulize huyu jamaa kwanza anafanya mazoezi, vyakula anavyokula vya afya au, ana tumia mvinyu? Na la mwisho huyo mwanamke huko chini kwake kupo safi au panya kaoza?
 
Duh mkuu hio malaria ya wapi ulaya mpaka ipate viagra? Mbona mimi hii kitu haijawahi nitokea na nishatembea na wanawake zaidi ya karne moja. Tumuulize huyu jamaa kwanza anafanya mazoezi, vyakula anavyokula vya afya au, ana tumia mvinyu? Na la mwisho huyo mwanamke huko chini kwake kupo safi au panya kaoza?
Kuna siku moja Nilishawahi Kukutana na hali kama ya huyo jamaa,
Matokeo yake kesho yake niliamka na homa na kwenda kucheck nikakutwa na malaria,
Wenyewe wanasema malaria inachangia mzunguko wa damu usiwe mzuri
 
Back
Top Bottom