Susy
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,431
- 221
Susy huo ni utaratibu ambao upo kisheria...lakini sio kwamba wakifikisha miaka 7 tu basi baba ndio ana haki ya kuchukua watoto na mama hana haki...HAPANA! Mahakama huwa inaangalia mchango wa malezi ya mtoto/watoto katika miaka hiyo 7, kama baba halikuwa hajali wala hatoi hela za malezi, basi mama bado yuko kwenye nafasi kubwa sana ya kupewa full 'custody' ya watoto hao. Pia, baba ana haki ya kuwa na wanawe kisheria...lakini sio kuwachukua na kuishi nao bila mahakama kujiridhisha kuwa baba atawajali hao watoto.
From the story you gave my sister, I dont see that man taking your children away from you...labda kinguvu, kimila, lakini sio kisheria! Ila uwe makini, ugomvi wako na ex-mwenza wako kuhusu watoto unaweza ukakuharibia uhusiano wako na mumeo mpya. Endelea kumomba mungu wako, mshirikishe mumeo mpya kila atua aone ni jambo linalomhusu pia...and relax, huwezi pokonywa wanao kisheria!
Thanks kwa kunitoa tongotongo kaka!!!