Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Sawa babu,tuassume xmume yuko innocent. Makosa aliyoyatenda mkewe yanapaswa kumzuia yeye kuhudumia watoto wake? Kama siyo kwa nini hakufanya ivo huko nyuma?kwa nini anawataka sa izi kama sio kutaka kumharibia tu mwenzie amani?
Objectionable Assumptions. Bado natetea haki za kusikilizwa huyo baba.
Hizi cross examinations, kwa sasa zina base kwenye preconceived convictions.